UPATIKANAJI WA FTA RECEIVER

UPATIKANAJI WA FTA RECEIVER

athmannyoka

Member
Joined
Nov 30, 2015
Posts
12
Reaction score
3
Hivi pale kariakoo ni duka gani naweza kupata FTA receiver ili niweze kuona ligi za ulaya kupitia sports 24 na sony
 
Mkuu nimenunua receiver ya gsky v7,naomba nisaidie ni lnb zipi nzuri kwa fta ili nizinunue online!
nimegoogle google hapa naona inverto ultra (series) wanaisifia sana. hebu nenda jukwaa hilo hapo juu la satelite waulize, sababu unaagizia online yoyote watakayo kushauri ni sawa.
 
jamanimtujalimakundi yote , biss key, power vu na auto roll mm sizijui lakini nahitaji kufahamishwa na mm niipate hudumakama hiyo
msimbazi jengo la simba kwa nyuma, hakikisha ina biss key, power vu na auto roll
 
jamanimtujalimakundi yote , biss key, power vu na auto roll mm sizijui lakini nahitaji kufahamishwa na mm niipate hudumakama hiyo
njia za kufungua chanell ambazo zimefungwa. umewahi kuwa na dish la fta? kuna chanell huwa ukiplay zinaeka kialama cha dola $ then zinaandika scrambled, nyengine zinaandika no feed etc

ukiwa na receiver yenye biss key au power vu utaweza kufungua baadhi ya chanell.

nyingi ya hizi chanell zinazofungwa ni nzuri, ni chanell unakuta za mpira, movie kali kali, na vipindi vizuri.

sema nazo zinakuja na kuondoka, kuna kipindi watu walikuwa wanaangalia ligi ya uingereza bure kupitia mfumo huu.
 
Tuzidi kupeana elimu ya mambo haya maana hawa wazee wa ving'amuzi wanatupiga sana jamani
 
Back
Top Bottom