conteh conteh
Member
- Oct 1, 2016
- 16
- 5
Habar ndugu zang, nmechagua course ya renewable energy technology ktk chuo cha DIT nilikua nauliza upatikanaji wa ajira na je hii course ntawezaje kujiajiri mm mwenywe...?? Naomba mawazo yenu
Hujamwelewa Sana yeye haitaji ushaur juu ya achague au asichague anachotaka kujua ni kuhusu ajira na maslahi pia Kwa hiyo aliyesoma kozi hio atakuwa na uelewa mkubwa kumjibu kuliko sisiUmeshachagua tayari, unahitaji mawazo ya nini sasa. Me nadhani mtu huwa anahitaji mawazo mbadala kabla ya kufanya maamuzi.
Haitosaidia kama ameshachaguaHujamwelewa Sana yeye haitaji ushaur juu ya achague au asichague anachotaka kujua ni kuhusu ajira na maslahi pia Kwa hiyo aliyesoma kozi hio atakuwa na uelewa mkubwa kumjibu kuliko sisi