Idd hashim
Member
- Jan 4, 2013
- 79
- 17
Jamaa mmoja alifanyiwa upasuaji wa pumbu zake , sasa wakati dokta anaendelea na upasuaji ghafla alitokea paka na kubeba mbegu ambazo dokta aliziweka pembeni kwa ajili ya uchunguzi! Dokta kuona hvyo wakati wa kushona ulipofika ilibidi amuwekee viazi! Siku moja dokta akakutana na yule jamaa mtaani maongezi yalikuwa hivi!Dokta: vipi bwana unaendeleaje siku hizi?Jamaa:siku hizi naendelea vizuri dokta ila nna tatizo moja tu!Dokta: tatizo gani tena?Jamaa: dokta siku hizi naota matembele sio mavuzi! Dokta chali akazimia!