Mcharuko
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 209
- 172
Wakuu hili jambo limenishtua kidogo maana rafiki yangu kamsafirisha mumewe kwenda nje ya nchi kufanya huo upasuaji. Sitaki kuzungumzia kilichopelekea kuchukua uamuzi huo, hofu yangu ambayo nataka nifahamu kutoka kwenu wadau ni
1. Je Operesheni hii haiwezi kusababisha kuua kabisa mashine yenyewe?
2.Haiwezi kupunguza ufanisi wa Mashine?
3.Wapo waliowahi kufanyiwa na wakafanikiwa?
4. Huku kutaka maumbile makubwa kumeibuka miaka ya hivi karibuni hivi hii
haitokani na dawa za uzazi wa mpango ambazo tunatumia wanawake kweli kuwa
zinatuharibu mpaka tunaona tatizo lipo kwa wanaume kumbe ni tatizo letu?
1. Je Operesheni hii haiwezi kusababisha kuua kabisa mashine yenyewe?
2.Haiwezi kupunguza ufanisi wa Mashine?
3.Wapo waliowahi kufanyiwa na wakafanikiwa?
4. Huku kutaka maumbile makubwa kumeibuka miaka ya hivi karibuni hivi hii
haitokani na dawa za uzazi wa mpango ambazo tunatumia wanawake kweli kuwa
zinatuharibu mpaka tunaona tatizo lipo kwa wanaume kumbe ni tatizo letu?