Wadau naomba msaada kwa mara nyingine tena kwa habari ya bawasiri
Nimetumia dawa za kienyeji za kunywa na kupaka nimetumia za tiba mbadala lkn wapi ndipo nikaamua kwenda kwa mtaala mmoja nikaambiwa yeye huwa anakutibu mpk bawasiri ina isha kbs
Na jamaa zangu wengi wameenda kwa huyo mtu wametibiwa na wanepona kbs na ninafanyanao kz sehemu moja sio mmoja ni zaidi ya wanne na wamepona kbs.
Ndipo wakanishauri na mimi niende huko nikaandaa pesa zangu mpk huko nikaanza matibabu matbabu hayo yanajumuisha maumivu makali mno sio hospital kuna mtu tu ni mzoefu wa miaka mingi katika matibabu hayo ya bawasiri.
Wakati mimi naenda nilikuwa nimesoma sana kwenye mtandao kuhusu aina za bawasiri na hatua zake kwamba kwa ile ya nje haina gredi ila ya ndani yaan internal ina grade km nne hivi
Lkn ni wakati naenda nilikuwa na hofu nikiamini huyu atakuwa huwa anatibu bawasiri ya nje maana ya ndani ni ngumu sana.
Nililipa km 400k nikaanza matibabu nakuja kumaliza tiba nikaambiwa nimepona lkn bawasiri bado ipo nikaona sio shida
Ishu yangu kuu naomba msaada kujua ni hospital gani wanafanya upasuaji wa bawasiri ya ndani kwa uhakika na usahihi zaidi ili nikatibiwe huku imeshindikana kabisa natoka bado bawasiri inachungulia chini naomba msaada kwa anaejua
Km kuna mtu alishafanyiwa upasuaji wa bawasiri ya ndani humu naomba tu wasiliane pm
Nb na uhakika mkubwa huyu ndugu ni bingwa wa bawasiri ya nje hilo na uhakika kabisa bila shaka
Nimetumia dawa za kienyeji za kunywa na kupaka nimetumia za tiba mbadala lkn wapi ndipo nikaamua kwenda kwa mtaala mmoja nikaambiwa yeye huwa anakutibu mpk bawasiri ina isha kbs
Na jamaa zangu wengi wameenda kwa huyo mtu wametibiwa na wanepona kbs na ninafanyanao kz sehemu moja sio mmoja ni zaidi ya wanne na wamepona kbs.
Ndipo wakanishauri na mimi niende huko nikaandaa pesa zangu mpk huko nikaanza matibabu matbabu hayo yanajumuisha maumivu makali mno sio hospital kuna mtu tu ni mzoefu wa miaka mingi katika matibabu hayo ya bawasiri.
Wakati mimi naenda nilikuwa nimesoma sana kwenye mtandao kuhusu aina za bawasiri na hatua zake kwamba kwa ile ya nje haina gredi ila ya ndani yaan internal ina grade km nne hivi
Lkn ni wakati naenda nilikuwa na hofu nikiamini huyu atakuwa huwa anatibu bawasiri ya nje maana ya ndani ni ngumu sana.
Nililipa km 400k nikaanza matibabu nakuja kumaliza tiba nikaambiwa nimepona lkn bawasiri bado ipo nikaona sio shida
Ishu yangu kuu naomba msaada kujua ni hospital gani wanafanya upasuaji wa bawasiri ya ndani kwa uhakika na usahihi zaidi ili nikatibiwe huku imeshindikana kabisa natoka bado bawasiri inachungulia chini naomba msaada kwa anaejua
Km kuna mtu alishafanyiwa upasuaji wa bawasiri ya ndani humu naomba tu wasiliane pm
Nb na uhakika mkubwa huyu ndugu ni bingwa wa bawasiri ya nje hilo na uhakika kabisa bila shaka