Wakuu,
Ningependa Kuwauliza Wenzetu Wa Kuleee Mbona Kimyaaa?
a)Ziara za Kubip-Kwishney!
b)Utumbuaji wa Kikaole-Kwishney!
c)Uwindaji wa Watumishi Hewa-Kwishney!
d)Hotuba za Majigambo-Kwishney!
e)Chama Kimepooza,Mpaka Kinatia Huruma,Isingekuwa Kujificha Nyuma ya Serikali Tungeshaongea Mengine!
f)Mwenyekiti Wenu u Wapi?
NB:
Kuna Mtumishi Kaninong'oneza Kuwa "Bata Limeanza Tena",Tena Kwa Kuwa Masilahi Yao Hayaja Heshimiwa Mwezi July na Kazi Nyingi Kwa Kukosa Usaidizi wa Output ya Ajira Mpya Nao Wanarevenge Juu kwa Juu!
Ameniambia Kuwa Mwenyechama na Serikali Yake Pumzi Imekata:Route Ndefu,Pumzi Fupi!Ufuatiliji Umekuwa Zero Kwa Kuwa Wasaidizi Walikuwa Wanasubiri Aseme,na Wao Waupitishe Mwangi Mpaka Chini!Kwa Kuwa yu Kimya,Hata System Nzima Imepoa!
Nami Nauliza:Upande wa Pili "Ganzi" Hii Iliyo Wakumba Chanzo ni Nini?
Nasikia kuna wateule kama 13 nao wameingia mitini, hawaja report kwenye vituo vyao vya kazi.