dady Vanny
Member
- Apr 29, 2018
- 28
- 9
Habari wana JF....samahani naombeni ushauri nahitaji kufanya ishu yakupannda ile miti yambao..samahani naombeni ushauri wenu maeneo gani yanafaa na miti haina gani inaota haraka na nikianza na heka 1 ntaweza kupata faida kiasi gan na shamba linapatkana kwa bei gani..