Uozo wa CHADEMA Hadharani



BADO haijanishawishi niache kudai mabilioni ya EPA, RICHMOND, DOWANS, RADAR etc. Ninasema majambazi wa CCM rudisheni pesa za walipa kodi. Sitaki kusoma wala kusikia chochote eti magamba ngozi na uzushi kama huu. Ninataka kodi yangu mliyoniibia BOT ili kuingia madarakani. CHONDE!!!!CHONDE!!!CHONDE!!CHONDE!! TUSIJEONANA WABAYA NITAKAPOWAFUKUZA AJIRA NILIYOWAPA. ACHANA NA CDM NIPENI CHANGU KWANZA.

WATZ huu ni mchezo na wizi unaendelea kwa fujo. UKICHEZA NA KIMA ATAKUACHIA MABUA SHAMBANI!!!!!!!!!!! haya
 
nape acha uongo kwani ww ni msemaji wa tra?, ni kosa jinai kutolipa kodi hata kama walikopa walikuwa na vyanzo gani vya mapato kipind kile, ka nape kameanza kuwa kaongo na kazush sana. Yaani uongo live.
 
Ndugu yangu Mnauye kwa nini unapenda/kukubali kutumiwa kama Condom? Ngoja wamalize kazi yao ndo utajua huwa unatupwa wapi baada ya kutumika....
 
Wananchi wa tunduru wamewatuma wabunge wa chadema,wawakilishe matatizo yao sugu bungeni la barabara na pembejeo za kilimo.wanasema wanajuta kuifahamu ccm!baada ya uchaguzi hawajamuona tena mbunge wao!
 

- Duh! mwaka huuu tutasikia mengi sana!

Es!
 
^500 milion kwa muda wa miezi tena chama bado hakina uwezo, je wakipewa ufunguo wa benki kuu? Si itakua balaa
<br />
<br />


Crap,hapo mwenyewe ndiyo umejitahidi ku-reason,hayo anayoyasema huyo mjakazi wenu Nape yangekuwa kweli mtu wa kwanza kujua angekuwa Jk!!
Pole sana!!
 
Mbona siwaoni viongozi wa cdm humu kama ilivyokuwa huko nyuma?Ni muhimu wakatoa ufafanuzi kuhusu hili.Kama ni uongo waseme ni uongo na sababu ni so and so.Al Gore alipokuwa akipiga debe kuhusu global warming.Walimponda kutokana na maisha yake aliyokuwa akiishi kutofautiana na yale aliyoyapreach.Mifano ya ya ndege alizokuwa akitumia,energy kwenye nyumba zake nk vilikuwa scrutinized,i mean you got talk the talk and walk the walk...Kama ni kweli katibu mkuu wa cdm analipwa zaidi ya katibu mkuu wa ccm,then there are some serious questions.
 
Wewe ulie leta hii, na hao CCM, CHAMA CHA MAGAMBA ndio mmeoza kunuka. hamjioni? Wenyewe mnaziba pua kwa harufu mlio nayo ya ufisadi na rushwa! Mtanzania wa leo si yule wa juzi.😛ound:
 

Sasa naona Wananchi tunaanza kupewa mashtaka ambayo hata vifaa vya kiutendaji hatuna.

Ninavyofahamu CDM wanaanika uozo wa CCM ili tuwatoe madarakani tuwape CDM wakarekebishe hayo wanayoyaona, hainiingii akilini kwa sasa tunakoelekea kwa CCM nao ambao wana dola na mamlaka yote kuzuia uovu nao wanakuja kushtaki kwetu badala ya kuchukua hatua za utekelezaji na kutupa taarifa.

Hapa ndio naona CCM kupoteza muelekeo kwa kufuata mkumbo wa CDM kuibua uozo badala ya wao kuondoa huo uozo.

Rais ana lalamika, ccm wanalalamika, serikali ina lalamika, wananchi tuna lalamika, CDM wana lalamika - sasa tuna mlalamikia nani atakae kuja kututatulia haya matatizo yetu??

Sasa naona Nchi ndio imepoteza muelekeo jamani na sijui inaelekea wapi.

Napita tu tutakutana badae!
.
 
TRA hawezi kumjua kila anayekwepa kulipa kodi.
Ni jukumu letu Watz kuwaumbua watu hawa kama alivyofanya Nape.
Sasa TRA wamejjua na watachukua hatua.

naona unazidi kuanika kushindwa kazi kwa jk na tra yake. Kumbe cdm wanakwepa kodi mbele ya jk,alaf kwenye mikutano wanampa mikombora kibao,du jk ana gundu safari hii. Ila siwezi kuamini uzembe huu wa Tra kwa kuwa source ni jarida la matapeli. Lete kitu kingne ndo utaweza kuiharibia Tra!
 
Jamani waliambia na mkuu wa Magamba wawe wanajibu tuhuma. Matunda ya semina elekezi (teketezi). Tatizo ni kwamba hawana tangible issues, wanachomoka na chochote kile! Wacha waendelee kufunua upumbavu wao wananchi wajue.
 

maneno yako mazito ndugu! Inawezekana nchi haina kiongozi!?!
 
hivi kuna gazeti linaitwa mzalendo??!nakumbuka mwaka 1988 ndo mara ya mwisho kulisoma gazeti hilo nikiwa darasa la 3.tokea wakati huo sijawahi sikia kuwa lipo.kuuumbe bado lipo!!! linauzwa wapi?!
 
CCM, acheni kuhangaika na CDM, mmeshaprove failure tayari! Jikiteni kwenye kuleta maisha bora kwa kila mtanzania!

Hilo lilishawashinda, ahadi zinafika Trilioni 90 hela ya mishahara ya watumishi wanakopa, ni wazi kuwa kilichobaki wameona bora wapige porojo porojo tu
 
MIMI NAHISI CCM MMECHANGANYIKIWA, CHANZO CHENYEWE GAZETI LA MZALENDO??? MIMI NAONA CCM MNGEWACHUKULIA HATUA KWANZA HAO AKINA RA NA LOWASA NDIPO MUWAGEUKIE CHADEMA. Mbona kibanzi chako hujakitoa unawezaje kuona boriti kwenye jicho la mwenzako.
Kwanza huo mmshahara wa Slaa kwani aliuomba au chama ndo kiliona anastahili alipwe kulingana na kazi yake?? Hawa CCM Kutimiza waliyoahidi kuwafanyia wananchi wameshindwa kazi kuuza sura tu huko mikoani. Ngojeni tu kwani kiama yenu sio mbali ni 2015 tu.

Nawe mtoa hoja(KISHONGO) Naona hoja yako haina msingi na hukuifanyia analysis badala yake uli copy na kupaste gazeti, cku nyingine jaribu kufanya analysis then tuanze kushusha comments kulingana na analysis yako. Haya magazeti yako kisiasa zaidi, so wewe kama critical thinker unatakiwa ufanye analysis
 

Kwa sababu hanuna cha ku-clarify au wewe unakiona? Viongozi hao walishasema kama kuna tuhuma zozote basi wapelekwe mahakamani. CCM ndio wenye dola - waitumie kama wana ushahidi; otherwise ni propaganda dhaifu.
 
jamvi hili sasa limeingiliwa na mamluki wa chama cha magamba. hizo tuhuma ni uozo mtupu.
 
Yani hii chama cha mapapa naona wamewa2ma wale wa**&+** humu ndani waandike thread sisizo na fikra. ILA HAWA NASHAURI WAPITIWE NA BAN bila ya kukosa kabisa. Wana2test mi naona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…