Uozo uliopo St. Mathew's secondary school

Mmiliki wa shule hiyo ana roho mbaya kuliko shetani, aliwahi kukata bomba la maji safi la shule ya jirani na yake akaunganisha bomba la maji machafu so wanafunzi wa shule jirani na kwake wakawa wanatumia maji machafu bila kujua, madogo waliharisha sana mpaka kuja kujua chanzo ilikuwa balaa.


HUU NI UUAJI KWAKWELI.
Hii Gvt yetu bana.
 
Alinifundiaha Kigoma Secondary na baadae akaenda UDSM. Alipotoka uko akawa PT (Piga Tu) nakumbuka mara ya mwisho alikuwa mkuu wa kituo cha Buguruni. Kusema kweli sio mstaarabu na ukiongeza Upolis basi inakuwa mbaya zaidi. watu wa namna hii hawawezi uongozi.
 
Hii shule,zamani ilikuwa nzuri, Mmiliki wa shule sasa amelewa sifa matokeo ya mitihani hovyo,Ada za shule ipo juu
Huwezi kuamini waliomaliza form iv 2015 walikuwa 875, hivi idadi kubwa namna hii ya wanafunzi katika darasa moja tu, unafuatiliaje maendeleo ya mwanafunzi darasani.
huu ni wizi wa fedha za wazazi tena wizi wa mchana kweupe, wazazi wanajua wamewakabidhi waalimu wanafunzi ili wafuatilie maendeleo yao darasani kumbe hata waalimu wenyewe wanapunjwa maslahi yao.
kielelezo kizuri ni matokeo ya form iv 2015 matokeo ni hovyo div.iv karibia watoto 360, kwa kifupi shule hii siyo ya kupeleka mtoto pale iko kibiashara zaidi sio kitaaluma.

kichekesho eti hata kutoa result slip za wanafunzi ni lazima mwanafunzi atoe 50,000/= kwanza huu si wizi jamani hivi serikali haioni wizi na dhuruma zinazofanywa na shule hii?
 
Wanafunzi 875 ni sawa na idadi ya wanafunzi wa shule moja kwa kidato cha kwanza hadi cha nne na pengine hadi form vi, lakini Mmiliki wa wa shule hii mwaka 2015 alijaza wanafunzi 875 wote hao ni form iv tu. Matokeo yake kwa tamaa yake ya fedha watoto 360 wamefeli kwa kupata Division iv.
Wazazi tumeingizwa hasara kwa sababu ya tamaa yake ya fedha, huwezi kufuatilia maendeleo ya wanafunzi 875 kwa ukamilifu. labda sasa ni kukumbushana wazazi kutopeleka watoto wetu katika shule hii.
 
Tatizo mwenye shule ana mkono wa serikali. hata hiyo wizara ya kazi itagonga mwamba kwani wataishia getini. haiwezekani awe na kiburi namna hii.
Serikali mpya hii, Ni kwel nimesoma pale 2007/2008 Advance nikahama. Papaa Mutembei ana kibur sana. Ni mtu wa chama cha kijani. Pili ana matusi sana sio tu kwa waajiriwa bali hata kwa wanafunzi kwa miaka ile.
 
Mshenz sana yule jamaa... Muhaya yule ana matatizo. Misifa na dharau kwa Watumishi & wanafunzi.... Lakini pia unanzeje kazi bila ya kuwa na mkataba. Wasomi pia sisi ni majipu kabisa.
 
Bado hajaacha tabia yake? Maana kuna dogolangu linasoma pale
mtoe hapo atapata ziro hiyo shule achana nayo kabisa hamna kitu, sasa hivi hata kuitangaza radio Tumaini anaona aibu anaitangaza shule yake ingine ya Victoria, huku Wazazi wengi wameamua kuwatoa watoto wao,
 
Huu uzi naona kama ni wakitambo sana....
nani yupo around atupe updates za iyoo shule kwa wakati huu 2019/2020 inaonekana lazima kutakuwa na mauzauza/mapichacha yameongezeka mpaka wakati huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom