Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,253
- 1,028
Hapa nilipo nipo stendi ya basi ya Ubungo,nimepanda basi la Sai baba la kwenda Arusha.
tangu asubuhi wakati nafika nimekutana na wapiga debe wengi ambao wengi wao na kautapeli wanako hivyo hivyo kwa kutowaamini nilinyosha hadi ofisi ya basi tajwa.
Ilikuwa mida ya saa mbili na nusu asubuhi.nikaambiwa saa 3 basi linaanza safari.
maajabu sasa ni saa 4 na dakika 28,hata dalili za basi kuondoka sizioni,2meripoti police,no action has been taken or any information kuwa labda basi bovu na vitu kam. hivyo.
polisi wanajizungusha tu na mavitambi yao.
surely inauma na kukera.
tangu asubuhi wakati nafika nimekutana na wapiga debe wengi ambao wengi wao na kautapeli wanako hivyo hivyo kwa kutowaamini nilinyosha hadi ofisi ya basi tajwa.
Ilikuwa mida ya saa mbili na nusu asubuhi.nikaambiwa saa 3 basi linaanza safari.
maajabu sasa ni saa 4 na dakika 28,hata dalili za basi kuondoka sizioni,2meripoti police,no action has been taken or any information kuwa labda basi bovu na vitu kam. hivyo.
polisi wanajizungusha tu na mavitambi yao.
surely inauma na kukera.