Uozo ndani ya Jeshi la Polisi... Ushahidi huu hapa

Uozo ndani ya Jeshi la Polisi... Ushahidi huu hapa

Duh mchina wangu ameshindwa kufungua picha!
 
Mara kwa mara maaskari ambao wamepewa dhamana ya kuwalinda raia na mali zao wanatumia nafasi zao katika kufanya uhalifu. baadhi ya viongozi wa jeshi la polisi wanapewa taarifa lakini wanapotezea, hiyo inatufanya sisi wananchi tusiwe na imani na jeshi letu la polisi!
 
kwa yeyote aende kituo chochote cha police mkoa au wilaya aone mgari binafsi ya mapolice ambao mshara wao yamkini ni laki mbili kwa mwezi lakini anagari la millioni 16
unafikiri wananchi kuchukuwa hatua mikononi wana penda hapana .
wewe ukivamiwa ukitaka msaada police waambie kuna watu wanashusha mzigo wa magendo watakuja hata kwa tax lakini useme jambazi aaa wapi utaambiwa gari haina mafuta
 
kwa yeyote aende kituo chochote cha police mkoa au wilaya aone mgari binafsi ya mapolice ambao mshara wao yamkini ni laki mbili kwa mwezi lakini anagari la millioni 16
Vizibiti wanajiuzia wenyewe
Lete mbwa wa kunusa bangi atakamata mamwela kibao maana ni chakula uao
 
Jeshi la Polisi limechafuka kwakipindi kirefu sana sasa. Kuanzia kipindi cha Mahita. Badala ya kulisafisha wao wanahamishwa vituo tu. Kumbuka kamanda Chico wa mkoa wa Kilimanjaro alivyokuwa anashirikiana na majambazi kuiba magari, sijui kama yale mabasi yake ya Chico bado yapo au wamebadilisha majina.

Baada ya scandle alihamishiwa DSM, nafikiri kwa sasa yuko usalama wa taifa. Huyu Msangi katika hiyo barua amejibu kwa kebehi; inaonyesha kuna wakubwa wanamlinda ndio maana ana kiburi. Inawezekana hizo mali za wizi wanakula na wakubwa zao.

Simuamini kabisa Mwema na wenzi. Infact jeshi zima la polisi limeoza- hamna wakumuamini tena. Ingawaje wanalipwa mshahara/wana maslahi duni ya kazi; lakini wana-benefit kwenye huu uharamia wanaoufanya ndio maana hawaoni sababu yakudai mishahara/mazingira mazuri ya kazi.

Kuishi kwao nyumba duni ni kiini macho tu, hawa watu (hasa wakubwa wao) wana-illegal sources za income nyingi tu.
 
napita, mana hata nikichangia hawatasikia na hawataelewa
 
Kama haya ni muendelezo wa liwalo na liwe, basi hatutafika mbali. Inasikitisha sana.
 
Huyo Msangi kwanini asichomwe moto kama majambazi wengine tunapowakamata!!.
 
Jaman nashindwa kuelewa sijui tufanyaje coz kila sehemu kumenuka uozo.
 
Ritz na Zomba mpo wapi njooni na humu museme sio mnaingia kwenye thread zingine na kuharibu mazingira, DHAIFU nyie
 
Back
Top Bottom