johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Wahadhiri na wafanyakazi wa chuo kikuu cha Mt Augustino Mwanza (SAUT), wametembelea na kuhani msiba wa aliyekuwa Rais wa awamu ya tano nchini, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, ikiwa ni kuelekea kumbukizi ya kifo chake huku wakiendelea kukumbuka namna ambavyo aliweza kupiga vita…
Prof. Costa Ricky Mahalu, Makamu Mkuu wa Chuo cha SAUT amesema ''Hayati Dkt. John Magufuli ni kiongozi ambaye alipiga vita sana suala la unyanyasaji, alitamani kuona Afrika inajitegemea kutokana na rasilimali zake lakini bado alikuwa ni mzalendo wa kuchoche watu kupenda kufanya kazi"
Padri Innocent Sanga, Mhadhiri Chuo Kikuu cha SAUT naye amenena haya "Kiongozi mzuri ni yule anayemcha Mungu, Hayati Dkt. John Magufuli alikuwa ni mtu ambaye alimpenda Mungu, tunakumbuka wakati wa Corona imepamba moto alitusisitiza Watanzania kusimama na Mungu"
Chanzo: Jambo TV
Prof. Costa Ricky Mahalu, Makamu Mkuu wa Chuo cha SAUT amesema ''Hayati Dkt. John Magufuli ni kiongozi ambaye alipiga vita sana suala la unyanyasaji, alitamani kuona Afrika inajitegemea kutokana na rasilimali zake lakini bado alikuwa ni mzalendo wa kuchoche watu kupenda kufanya kazi"
Padri Innocent Sanga, Mhadhiri Chuo Kikuu cha SAUT naye amenena haya "Kiongozi mzuri ni yule anayemcha Mungu, Hayati Dkt. John Magufuli alikuwa ni mtu ambaye alimpenda Mungu, tunakumbuka wakati wa Corona imepamba moto alitusisitiza Watanzania kusimama na Mungu"
Chanzo: Jambo TV