Uongozi wa kijeshi nchini Niger waishutumu Ufaransa kutaka kumrejesha Rais aliyeondolewa madarakani

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Uongozi mpya wa kijeshi nchini Niger Jumatatu umeishutumu Ufaransa kutaka ‘kuingilia kati kijeshi’ ili kumrejesha madarakani Rais aliyeng’atuliwa Mohammed Bazoum, huku mivutano ikiongezeka kati ya Niger na Ufaransa, iliyokuwa mtawala wa kikoloni kwa Niger, na majirani zake.

Ufaransa ilijbu mara moja Jumatatu jioni huku waziri wa mambo ya nje Catherine Colonna akikanusha madai hayo na kuongeza kuwa “bado inawezekana” kumrejesha madarakani Bazoum.

Na katika ishara ya kuongezeka kwa mvutano wa kikanda, serikali za Mali na Burkina Faso zinazoongozwa na wanajeshi Jumatatu jioni zilionya kwamba uingiliaji kati wowote wa kijeshi nchini Niger utachukuliwa pia “kama tangazo la vita” kwa nchi zao zote mbili.

Bazoum, mshirika wa karibu wa nchi za magharibi ambaye kuchaguliwa kwake miaka miwili iliyopita kuliashiria kukabidhiana madaraka kwa njia ya amani kwa mara ya kwanza tangu uhuru wa Niger, aliondolewa madarakani tarehe 26 Julai na kiongozi wa kikosi cha ulinzi wa rais.

Mkuu wa kikosi cha ulinzi wa rais Jenerali Abdourahamane Tiani alijitangaza kuwa kiongozi, lakini madai yake yalilaaniwa kimataifa, na Jumuia ya uchumi ya nchi za Afrika magharibi(ECOWAS) ilimpa wiki moja kurudisha madaraka.

Chama cha Bazoum cha PNDS Jumatatu kilionya kwamba Niger iko katika hatari ya kuwa “utawala wa kidikteta na kiimla” baada ya watu kadhaa kukamatwa.

Jumatatu asubuhi, waziri wa mafuta na waziri wa madini walikamatwa, chama cha PNDS kilisema. Kiongozi wa kamati kuu ya kitaifa ya PNDS alikamatwa pia.


=================

Niger coup leaders accuse France of wanting to 'intervene militarily'

The coup leaders, who have confined Bazoum to the presidential palace since Wednesday, claimed Niger's toppled government had authorised France to carry out strikes at the presidency to try to free Bazoum.

"In its search for ways and means to intervene militarily in Niger, France with the complicity of some Nigeriens, held a meeting with the chief of staff of the Nigerien national guard to obtain the necessary political and military authorisation needed," said a statement read out on national television.

Responding to the allegations, the French foreign ministry said it was focused on guaranteeing the security of its nationals, a day after thousands of demonstrators rallied outside the country's embassy in Niamey, setting a door to the embassy ablaze.

On Sunday, French President Emmanuel Macron vowed "immediate" action if French citizens or interests were attacked in Niger.

Anti-French sentiment runs high in some former African colonies as the continent becomes a renewed diplomatic battleground, with Russian and Chinese influence growing.

France has some 1,500 troops in the West African nation, which is one of its last allies in the Sahel region, after French forces had to withdraw from neighbouring Mali earlier this year.

Following Mali and Burkina Faso, Niger has become the third country in the Sahel to be undermined by jihadist attacks linked to the Islamic State (IS) group and al Qaeda.

EU to hold coup leaders 'responsible' for embassy attacks

Earlier on Monday, the European Union warned that it would hold Niger's putschists responsible for all attacks on civilians, diplomatic personnel and embassies.

The EU will also "quickly and resolutely" apply the decision of West African leaders to apply economic sanctions on Niger following the military coup, EU foreign policy chief Josep Borrell said in a statement.

Source: France 24
 
Utajiri na rasilimali zetu ndio chanzo kikuu cha sisi wa Africa kuuana.
 
Uongozi mpya wa kijeshi nchini Niger Jumatatu umeishutumu Ufaransa kutaka ‘kuingilia kati kijeshi’ ili kumrejesha madarakani Rais aliyeng’atuliwa Mohammed Bazoum, huku mivutano ikiongezeka kati ya Niger na Ufaransa, iliyokuwa mtawala wa kikoloni kwa Niger, na majirani zake.

Ufaransa ilijbu mara moja Jumatatu jioni huku waziri wa mambo ya nje Catherine Colonna akikanusha madai hayo na kuongeza kuwa “bado inawezekana” kumrejesha madarakani Bazoum.

Na katika ishara ya kuongezeka kwa mvutano wa kikanda, serikali za Mali na Burkina Faso zinazoongozwa na wanajeshi Jumatatu jioni zilionya kwamba uingiliaji kati wowote wa kijeshi nchini Niger utachukuliwa pia “kama tangazo la vita” kwa nchi zao zote mbili.

Bazoum, mshirika wa karibu wa nchi za magharibi ambaye kuchaguliwa kwake miaka miwili iliyopita kuliashiria kukabidhiana madaraka kwa njia ya amani kwa mara ya kwanza tangu uhuru wa Niger, aliondolewa madarakani tarehe 26 Julai na kiongozi wa kikosi cha ulinzi wa rais.

Mkuu wa kikosi cha ulinzi wa rais Jenerali Abdourahamane Tiani alijitangaza kuwa kiongozi, lakini madai yake yalilaaniwa kimataifa, na Jumuia ya uchumi ya nchi za Afrika magharibi(ECOWAS) ilimpa wiki moja kurudisha madaraka.

Chama cha Bazoum cha PNDS Jumatatu kilionya kwamba Niger iko katika hatari ya kuwa “utawala wa kidikteta na kiimla” baada ya watu kadhaa kukamatwa.

Jumatatu asubuhi, waziri wa mafuta na waziri wa madini walikamatwa, chama cha PNDS kilisema. Kiongozi wa kamati kuu ya kitaifa ya PNDS alikamatwa pia.


=================

Niger coup leaders accuse France of wanting to 'intervene militarily'

The coup leaders, who have confined Bazoum to the presidential palace since Wednesday, claimed Niger's toppled government had authorised France to carry out strikes at the presidency to try to free Bazoum.

"In its search for ways and means to intervene militarily in Niger, France with the complicity of some Nigeriens, held a meeting with the chief of staff of the Nigerien national guard to obtain the necessary political and military authorisation needed," said a statement read out on national television.

Responding to the allegations, the French foreign ministry said it was focused on guaranteeing the security of its nationals, a day after thousands of demonstrators rallied outside the country's embassy in Niamey, setting a door to the embassy ablaze.

On Sunday, French President Emmanuel Macron vowed "immediate" action if French citizens or interests were attacked in Niger.

Anti-French sentiment runs high in some former African colonies as the continent becomes a renewed diplomatic battleground, with Russian and Chinese influence growing.

France has some 1,500 troops in the West African nation, which is one of its last allies in the Sahel region, after French forces had to withdraw from neighbouring Mali earlier this year.

Following Mali and Burkina Faso, Niger has become the third country in the Sahel to be undermined by jihadist attacks linked to the Islamic State (IS) group and al Qaeda.

EU to hold coup leaders 'responsible' for embassy attacks

Earlier on Monday, the European Union warned that it would hold Niger's putschists responsible for all attacks on civilians, diplomatic personnel and embassies.

The EU will also "quickly and resolutely" apply the decision of West African leaders to apply economic sanctions on Niger following the military coup, EU foreign policy chief Josep Borrell said in a statement.

Source: France 24
Urussi yuko aje aokoe jahazi
 
Back
Top Bottom