Uongozi wa kanisa KKKT utoe tamko haraka kuhusu yaliyojiri Jana Kimara

Kwa hiyo akasali chini ya mti? Na kule Arusha alikoenda lema nako unasemaje?

Kanisa linapokea kila mtu halibagui wewe ndo unabagua kwendezi zenu huko. Unataka kupeleka kanisani upuuzi wa kwenye mitandao .

Ukikerwa hamaaaa makanisa yako mengi.
Nenda kwenye makanisa ya mipasho huko iache KKKT.
 
Kwan huyu bwana Daud sikuhiz hana dhamana ya kuita media mpaka akaongelee madhabahun aaarghrrrrrr
 
Yule mchungaji pale Kimara anaitwa sijui maslai amejaa kiburi uzima nasikia hata utaratibu wa Ibada amegeuza ni tofauti na ule wa Wutheri

Ameota mapembe kisa anawaaumini wengi anaitishia hata dayosisi kama itamuamisha atahama dhehebu aanzishe lake

Kimuonekano ni mchungaji brothermen anapenda sifa pia mbabe na ujeuri wa hapa na pale

Onyo KKKT muonyeni huyo mchungaji anafifisha liturugia ya KKKT
Ulishawahi kusali hapo au unasikia?
 
WANALI CHAFUA HEKALU LA BWANA
KKKT Sio sehem ya wanasiasa sijui kujisafisha kwa kuhubiri
YAani Hadhi Ya KKKT inaanza polomoka uwezi ona mambo kama haya RC
Kutoa salam fupi hatukatai lkn mtu sijui ni kuhubiri sasa si aende kusomea uchungaji kuliko kubadili sauti (kinyonga Bashite) kama Mwl Mwakasege
Hata hiyo ya kutoa salamu fupi bado sio sawa,anapewa nafasi hiyo ya kutoa salamu fupi yeye kama nani kama sio kutokana na cheo chake kisiasa na hapo anaweza kuwakwaza waumini wengine kutokana na atakachoongea maana hata hiyo salamu fupi unayosema huwa wanaongea vimaneno vya kisiasa.

Makanisa sasa hivi yanayumba huo ni ukweli,ndani ya kanisa na ibada kiujumla kiongozi wa kiroho ndiye mwenye dhamana mtu mwingine yeyote anaacha cheo chake nje mlangoni anapoingia kanisani ni kama mtu mwingine yeyote.

Miaka ya nyuma Nyerere na Mkapa walikua wanasali sana st.Peters oysterbay na st.Joseph lakini ulikua unaweza usijue kama wapo kanisani kwa hakukua na mambo hayo ya kusalimu mara kuja na vyombo vya habari,kanisa lilikua linasimamia misingi kweli sio sasa viongozi wa makanisa kufuata mitazamo yao bila kuzingatia ethics za ibada.
 
Kusema la ukweli katika wakati mgumu huyu kijana anapitia wakati mgumu sana kibinaadamu waliokaribu nae ningeshauri waliopo karibu nae wampatie dr wa saikology ili aweze kumsaidia kwa karibu sana amini hivyo
akomae tu hata marehemu kabwe alipitia kipindi kigumu mpaka akafa japo alikuwa anaumwa ila bashite alichangia kifo chake
 
Wewe ndio Malasusa au? Lutheran limejengwa na misingi imara tangu enzi ndio maana umeliona liko imara hadi leo

Utaratibu wa Ibada mapokea ya kikanisa pamoja na Liturijia hivi ndivyo vimeitofatisha Lutheran na Madhehebu mengine

Sasa uyo maslai nani ajeuze misingi imara ya KKKT

Na wasiwasi na wewe ni moja ya wale waumini chokoraa hujui misingi ya dhehebu yako

Soma história ya Martin Luther ndio ujue KKKT sio chombo cha mchezo mchezo kama huo unaoufagilia waulize RC wanajua nani baba wa injili
Anaitwa Mastahi, sio maslai. Kuwa mstaarabu unapotaja jina la mtu unaweza kuwa na hoja ya msingi ila ikaonekana una chuki zako binafsi na mchungaji ndo maana ukaleta huu uzi hapa.
 
Salam,

Kwa Muda wa zaidi ya wiki mbili huku mitandaoni kumekuwa na mjadala mrefu unaozungumzia utata wa elimu ya mkuu wa mkoa wa Dar. Ninaamini hichi ndicho kilichopelekea mkuu huyo kusimama jukwaa la kanisa la KKKT Kimara katika jitihada za kujinasua kwenye shutuma hizo ambazo mwisho wake sio mzuri endapo itabainika kuwa ni kweli.
Sisemi kuwa shutuma hizi ni za kweli na wala binafsi sina ushahidi wa uhakika sana juu Hilo.

HOJA YANGU:
Naomba uongozi wa kanisa langu KKKT waliopo pale Luther house Dar wanifafanulie uhalali wa kutumia madhababu ya kanisa katika jitihada za kujisafisha kisiasa. Kwenye hili saga tumeshaona baadhi ya viongozi wengine wa kidini wakijitoa kusema wazi kuwa shutuma hizi za mkuu wa mkoa ni za kweli kabisa. Je, aliyempa mamlaka mchungaji wa Kimara kumsimamisha mkuu wa mkoa ili ajisafishe ni nani?? Ninalijua vizuri kanisa langu kuwa Lina uongozi makini na sio rahisi kwa mtu yeyote Kufanya Chochote kanisani bila uongozi husika kujua..... Na hasa mtu mkubwa Kama mkuu wa mkoa. Swali langu, je uongozi wa kanisa unahusika kwenye hili?
Kama hauusiki tafadhali naomba uongozi utoe tamko mapema sana. Kwa sababu ikiwa muhusika ataanguka inaweza ikaathiri heshima ya kanisa kwa namna moja au nyingine.

Ni Hilo tu.
Mimi muumini wa KKKT mwenye Kadi namba 881.
Acha,bangi chuki na unafiki, kanisani ni mguuni pa yesu,mtu yeyote ,mnyange,tajiri,masikini au mtu awaye yeyote anaruhusiwa kutoa ushuhuda madhabahuni na kuabudu pamoja,we sio mwana kkkt ,wewe mwana wa ibilisi
 
Salam,

Kwa Muda wa zaidi ya wiki mbili huku mitandaoni kumekuwa na mjadala mrefu unaozungumzia utata wa elimu ya mkuu wa mkoa wa Dar. Ninaamini hichi ndicho kilichopelekea mkuu huyo kusimama jukwaa la kanisa la KKKT Kimara katika jitihada za kujinasua kwenye shutuma hizo ambazo mwisho wake sio mzuri endapo itabainika kuwa ni kweli.
Sisemi kuwa shutuma hizi ni za kweli na wala binafsi sina ushahidi wa uhakika sana juu Hilo.

HOJA YANGU:
Naomba uongozi wa kanisa langu KKKT waliopo pale Luther house Dar wanifafanulie uhalali wa kutumia madhababu ya kanisa katika jitihada za kujisafisha kisiasa. Kwenye hili saga tumeshaona baadhi ya viongozi wengine wa kidini wakijitoa kusema wazi kuwa shutuma hizi za mkuu wa mkoa ni za kweli kabisa. Je, aliyempa mamlaka mchungaji wa Kimara kumsimamisha mkuu wa mkoa ili ajisafishe ni nani?? Ninalijua vizuri kanisa langu kuwa Lina uongozi makini na sio rahisi kwa mtu yeyote Kufanya Chochote kanisani bila uongozi husika kujua..... Na hasa mtu mkubwa Kama mkuu wa mkoa. Swali langu, je uongozi wa kanisa unahusika kwenye hili?
Kama hauusiki tafadhali naomba uongozi utoe tamko mapema sana. Kwa sababu ikiwa muhusika ataanguka inaweza ikaathiri heshima ya kanisa kwa namna moja au nyingine.

Ni Hilo tu.


mi muumini wa KKKT mwenye Kadi namba 881.

Ukweli ni kuwa kanisa letu limekosa mwelekeo. Niseme wazi kuwa hata mimi ni muumini wa KKKT lakini ninasikitishwa sana na mambo yanayotokea. Ni kuwa kanisa limeingia mwenye siasa au ni nini? Makonda juzi amevaa kanzun ya kiislamu na kuombewa na mashehe halafu leo anakuja madhabahunu kwenye injili ya kristo. Hata kama angekuwa muumini wa hili kanisa kitendo chake cha kuombewa katika imani ya kiislamu kilimtenga na kanisa. Inakuwaje mtu aliyeasi aje apewe madhabah?
Halafu hata yaliyotokea kule arusha siyaungi mkono kabisa. Mbunge Godbless Lema ana kesi dhidi ya Jamhuri ya Muungano. Amekaa rumande juzi katolewa kwa dhamana. Sasa naye anapelekwa madhabahuni kuonyesha kuwa alionewa. Ina maana kanisa lishamwondoa hatiani mh. Lema? Mbona kesi hata kuanza bado? Au Kanisa limeamua kupambana na serikali?
Kwa kweli KKKT linatakiwa lijitafakari. Kama ni kujitafutia sifa kutoka kwa wanasiasa tujue kuwa hayo n i machukizo kwa Mungu tunayetangaza kumhubiri.
 
Salam,

Kwa Muda wa zaidi ya wiki mbili huku mitandaoni kumekuwa na mjadala mrefu unaozungumzia utata wa elimu ya mkuu wa mkoa wa Dar. Ninaamini hichi ndicho kilichopelekea mkuu huyo kusimama jukwaa la kanisa la KKKT Kimara katika jitihada za kujinasua kwenye shutuma hizo ambazo mwisho wake sio mzuri endapo itabainika kuwa ni kweli.
Sisemi kuwa shutuma hizi ni za kweli na wala binafsi sina ushahidi wa uhakika sana juu Hilo.

HOJA YANGU:
Naomba uongozi wa kanisa langu KKKT waliopo pale Luther house Dar wanifafanulie uhalali wa kutumia madhababu ya kanisa katika jitihada za kujisafisha kisiasa. Kwenye hili saga tumeshaona baadhi ya viongozi wengine wa kidini wakijitoa kusema wazi kuwa shutuma hizi za mkuu wa mkoa ni za kweli kabisa. Je, aliyempa mamlaka mchungaji wa Kimara kumsimamisha mkuu wa mkoa ili ajisafishe ni nani?? Ninalijua vizuri kanisa langu kuwa Lina uongozi makini na sio rahisi kwa mtu yeyote Kufanya Chochote kanisani bila uongozi husika kujua..... Na hasa mtu mkubwa Kama mkuu wa mkoa. Swali langu, je uongozi wa kanisa unahusika kwenye hili?
Kama hauusiki tafadhali naomba uongozi utoe tamko mapema sana. Kwa sababu ikiwa muhusika ataanguka inaweza ikaathiri heshima ya kanisa kwa namna moja au nyingine.

Ni Hilo tu.
Mimi muumini wa KKKT mwenye Kadi namba 881.
huyu Bashite ni mkatoliki sijui huko alienda kuabudu na kupewa nafasi ya kuhubiri tena zaidi ya saa kama nani je alikuwa kwenye ratiba,kazi tunayo makanisa na siasa bora wasabato
 
Asubuhi asubuhi badala ya kuwaza kazi mnawaza vyeti vya makonda, mnadhani vyeti vyake vitawaondolea ugumu wa maisha yenu
HAPA TUPO KAZINI NA ILI UJUE TUNAPIGA KAZI ...MUDA WA KAZI UMEISHA ILA BADO TUNAPIGA KAZI...ILA KUHUSU VYETI ACHENI MANENO MWAMBIENI AWEKE VYETI HAPA...mlishangilia sana wakati wenzetu wanatolewa kazini mkadhani kuwa mtapona sasa yamewakuta mnaaza visingizio..mnaudhi ninyi.
 
Back
Top Bottom