Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,041
- 103,471
Vipi hili la madiwani wa Chadema ubungo kukamatwa na Takukuru kwa rushwa.
Rushwa ni jinai haina chama. Kamata yoyote ila kama wengine wanaachwa tunaona ni muendelezo wa siasa chafu za awamu hii ya tano. Mfano Ngeleja lakini tunamuona anadunda tu.