Levels baby
JF-Expert Member
- Sep 26, 2019
- 831
- 768
Najua anajua nanyi viongozi wake mnajua hari iliyopo kwa sasa mitandaoni na kinachoendelea ingawa hamna mwenye taarifa rasmi kuhusu hari ya mwenye nchi yake kwa sasa mana maswali ni mengi kama.
1. Kwanini ziara ihairishwe ghafla wakat wananchi huko ikwiriri na kibiti walikuwa wanamngoja mkubwa wa nchi.
2. Kwanini data za DPP ziibiwe juzi
3. Kwanini waziri Mkuchika na sio Makamu wa Rais kuenda kwenye mualiko.
4. Kwanini TBC ghafla wakatishe matangazo ya mkutano wa kuonana kwa mkubwa wa nchi na ma Director wa kampuni mbalimbali.
Sasa nyinyi msimamizi wenu wa account za mitandaoni anaandika hivi ilihali anajua tupo katika wakati gani kama nchi kwa sasa.
TENA ANAWEKA NA HASHTAG YA BREAKING NEWS
1. Kwanini ziara ihairishwe ghafla wakat wananchi huko ikwiriri na kibiti walikuwa wanamngoja mkubwa wa nchi.
2. Kwanini data za DPP ziibiwe juzi
3. Kwanini waziri Mkuchika na sio Makamu wa Rais kuenda kwenye mualiko.
4. Kwanini TBC ghafla wakatishe matangazo ya mkutano wa kuonana kwa mkubwa wa nchi na ma Director wa kampuni mbalimbali.
Sasa nyinyi msimamizi wenu wa account za mitandaoni anaandika hivi ilihali anajua tupo katika wakati gani kama nchi kwa sasa.
TENA ANAWEKA NA HASHTAG YA BREAKING NEWS