wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Sio hivyo ni "anaetoka chumbani kwa mama yako na kajifunga taulo huyo ndie baba ako"Anaependwa na baba yako ni mama yako
Sio hivyo ni "anaetoka chumbani kwa mama yako na kajifunga taulo huyo ndie baba ako"Anaependwa na baba yako ni mama yako
Huyo nichezaji wa tim gani tena..
Wewe unataka kuhatarisha maisha ya bodaboda bure!Sema jiwe akiona anaweza kummaindi
Kumbe umeona DC mwenyewe kavaa kimitego naona masela wanateseka tuHuyo Baba aliyekaa chini naona ana zoom
Kwi kwi kwi! Huo ndio msabwada original sio ile ya kina Snura ambayo kuna mchina ndani yake!
Huyu manula vep, naona katoa macho
Mzee baba sikasema yuko njiani kuhamia Dom? Sasa kwa nini iwe huyu Pwani?Hawezi kwenda Dodoma itakuwa Dar au Pwani
Dar patamu mzee baba anaimba Dodoma lakini anapenda upepo wa bahariMzee baba sikasema yuko njiani kuhamia Dom? Sasa kwa nini iwe huyu Pwani?
Bila shaka hashishi ishakuchengua mana unashangilia ujuha mithili ya mlevi wa pombe za kienyejiWewe hashish ikishakuchengua unaanza kupayuka hovyo hovyo.
Wewe mjinga sana.Bila shaka hashishi ishakuchengua mana unashangilia ujuha mithili ya mlevi wa pombe za kienyeji
We bwegeWewe mjinga sana.
Wewe fala.We bwege
Ubongo wake ulikuwa unasema "Jiwe anafaidii"Sitaki kujua ubongo wake ulikuwa unasema nini?
😂Ubongo wake ulikuwa unasema "Jiwe anafaidii"
Hata mie ingekuwa hivyo, maana hakuna cha zaidi kwa kweli...Hahahahaha...Huyo Baba aliyekaa chini naona ana zoom