Uongo Wikipedia kuhusu Dini Tanzania

Uongo Wikipedia kuhusu Dini Tanzania

donniebrasco

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
887
Reaction score
774
IMG_0645.PNG
Habari ndugu,
Nimefungua wikipedia nlikuwa napitia nchi yetu hii TANZANIA lakini ajabu nimekuta takwimu za dini, lakini nijuavyo mimi nchi yetu huwa haina idadi wala makadirio kati ya WAISLAMU NA WAKRISTO.

Sasa hawa wikipedia wanadai hizi data wamezipata kutoka CIA.


Tanzania - Wikipedia
 
Wikipedia siyo chanzo bora cha kufanyia rejea maana kesho unaweza kuta idadi yetu tunao amini matambiko ya babu zetu ikawa asilimia 95, na asilimia iliyobaki ni dini za kuja kwa merikebu na majahazi .

Hivyo usihangaike na takwimu za Wikipedia nenda BAKWATA ,TEC, KKKT /ELCT, AICT, SDA, FGCT, ACT, MORAVIAN, PCT , BAHA'I n.k kama unataka kujua idadi ya takwimu sahihi za waumini wao.
 
Wikipedia hata wewe uki-subscribe tu unaweza kuweka chochote ukipendacho. Hivyo usiiamini kwa 100%

Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu ingia hata wewe hapo Wikipedia weka hiyo dini yako iwe 95% sio tatizo wamekupa hiyo fursa
Naelewa mkuu lakini
Inakataa nilishajaribu nikaweka unknown wamefuta jaribu wewe

Kingine mamalaka zetu ziko wapi kuona kama data za nchi zinawekwa za hovyo inatakiwa wakemee
 
Naelewa mkuu lakini
Inakataa nilishajaribu nikaweka unknown wamefuta jaribu wewe

Kingine mamalaka zetu ziko wapi kuona kama data za nchi zinawekwa za hovyo inatakiwa wakemee
Bahati nzuri / mbaya, sensa za Ofisi Kuu ya Takwimu Tanzania haijafanya zoezi la kuhesabu na kujua dini na imani za wa-Tanzania tangu wakati Tanzania ikiwa na idadi ya watu milioni 9.

Na sensa ya mwaka 2012 inasema idadi ya watanzania inakadiriwa kuwa 52 milioni mwaka 2017. Na kipau-mbele kwa sensa ya idadi ya watu Tanzania wameweka zaidi kujua idadi ili kutoa huduma bora za afya, elimu, barabara n.k

Sensa ya idadi ya watu Tanzania hawataki kujua wala hawaoni umuhimu au mantiki ule mbuyu ninaokwenda kutambikia mababu na mizimu ya asili ipo wapi na mingapi, nami nimeafiki uamuzi huo maana huduma hiyo ya kiimani ya kwetu ya kiasili siyo ya wote kama huduma ya maji safi .
 
Wako sahihi kivipi mbona mnaongea kama vile mmetoka usingizinj hatujawahi hesabiwa kwa dini zetu sasa mnasemaje wako sawa
Sisi katoliki idadi tunayo kila mwaka kuna sensa kijimbo kikanda parokia mpaka jumuiya ndogondogo tena hii ni kwa waumini Hai yaani waotambulika so na nyie mfanye sensa zenu sio kutokwa mapovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Takwimu huwa hazidanganyi, wapo sahihi kabisa. Actual evidence ninayo.
 
Upotoshaji pia ni taaluma za watu sio takwimu pekee
CIA wana namna yao ya kupata data. Vyombo vya ndani vinaposhindwaga uchunguzi wa mauaji au chochote huita vyombo vya nje huku muda ukiwa umeenda sana. Kwa hiyo wao watakuwa na namna yao ya kupAta data.

HAYA NI MAMBO YA KITAARAMU SANA MWANANGU
 
CIA wana namna yao ya kupata data. Vyombo vya ndani vinaposhindwaga uchunguzi wa mauaji au chochote huita vyombo vya nje huku muda ukiwa umeenda sana. Kwa hiyo wao watakuwa na namna yao ya kupAta data.

HAYA NI MAMBO YA KITAARAMU SANA MWANANGU

Hahaha pumba hizi....tumeshalishwa siku nyingi wao kwani wameombwa na serkali yetu watusaidie data hizo!!??
 
CIA wana namna yao ya kupata data. Vyombo vya ndani vinaposhindwaga uchunguzi wa mauaji au chochote huita vyombo vya nje huku muda ukiwa umeenda sana. Kwa hiyo wao watakuwa na namna yao ya kupAta data.

HAYA NI MAMBO YA KITAARAMU SANA MWANANGU
Kitaalamu.
 
Wikipedia siyo chanzo bora cha kufanyia rejea maana kesho unaweza kuta idadi yetu tunao amini matambiko ya babu zetu ikawa asilimia 95, na asilimia iliyobaki ni dini za kuja kwa merikebu na majahazi .

Hivyo usihangaike na takwimu za Wikipedia nenda BAKWATA ,TEC, KKKT /ELCT, AICT, SDA, FGCT, ACT n.k kama unataka kujua idadi ya takwimu sahihi za waumini wao.

Kweli kabisa ndugu, maana yangu wahusika wa serikali wako wapi kuedit hayo mambo kwa mfano Hiyo hiyo WIKIPEDIA ingeandika Rais wa Tanzania ni Lowasa ingeabaki hivyo hivyo au wahusika wangehusika katika kubadili uongo huo...
 
Mleta mada naona wengi hawajakuelewa bado!! Mleta mada kauliza kua in Tanzania watu hawahesabiwi kwa dini zao,sasa hao CIA wamepata wapi hiyo accurate figure?

Asante ndugu mi nashangaa watu wanaleta udini hata ingeandikwa 50% kwa 50% siyo sawa na pia CIA kupitia source zao wakiamua kuandika hicho kitu kwa wanavyoamini wao kwenye website zao au vitabu vyao hiyo ni shauri yao lakini kwenye page ya WIKIPEDIA AMBAYO INAHUSU NCHI YETU ilibidi vitu vingi vya takwimu vitolewe na serikali yetu au viwe approved na serikali.
 
Back
Top Bottom