Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 756
- 322
Wakuu kama pia nasema uongo hapamnihukumu, lakini nina uhuru wa kueleza ukweli ninaoujua katika kila jambo, na siwezi kupangiwa nini cha kusema.
achana na jangili superkwidai lukuvi.
Wakuu kama pia nasema uongo hapamnihukumu, lakini nina uhuru wa kueleza ukweli ninaoujua katika kila jambo, na siwezi kupangiwa nini cha kusema.
Mtatiro wewe ndio muongo na lichama lako la kidini lenye uponda ndani yake!
Wewe mbabaishaji tu huna jipya!Mtatiro bana, hivi haya yote ni kwasababu ametoa ile siri???
Any way siasa za tanzania zina wenyewe.
Usiwaamini wanasiasa hata wawe wa upinzani hapo mtatiro unajikosha tu.
Bado bangi hazijawatoka?Habari ya safari Mtatiro J,kiukweli leo umeshuka sana thamani yako kisiasa hasa kipindi hiki cha kuandika katiba mpya,pale Lukuvi alipokutaja wewe na chama chako cha CUF kwamba ndio ulipeleka maandishi na ukayasaini kwa niaba ya cuf kuvunjwa kwa tume ya Warioba baada ya rasimu ya 2.
Mtatiro kumbe mnawasaliti watanzania?kama kauli ya Lukuvi unaipinga,basi thibitisha pasipo mashaka kwamba Lukuvi ndo amelidanganya bunge na watanzania.otherwise nyinyi ni maccm B
...
Mimi na Mnyika tuliongoza TC ya vyama, ...