Uongo mkubwa kabisa kuwahi kuushuhudia

Uongo mkubwa kabisa kuwahi kuushuhudia

olele

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
1,305
Reaction score
1,574
Toka nikiwa mdogo nilikua naona matangazo kwenye TV zile "mashine za kunyolea mdevu" japo sio mashine, (sheva) maarufu sana ni brand ya Gillete, wanatangaza ni kwa ajili ya kunyolea ndevu, na niliamini kabisa ni kwa ajili ya kunyolea ndevu.

Sasa nimeshangaa nimekua mkubwa na ndevu ninazo lakini situmii kunyolea ndevu, na kumbe sio mimi peke yangu ambaye situmii kunyolea ndevu, WANAUME wote tunanyolea ndevu saloon, ajabu hata wanawake wanazinunua lakini hawana ndevu.

Na yale matangazo bado nayaona tu na yanazidi kuwa maarufu. Mashine hazinyolei ndevu lakini zinazidi kutangazwa na kuwa maarufu kuwa zinanyoa ndevu.

Nachosikitika kuwa hata wazungu kumbe ni waongo kiasi hiki.

Naombeni msaada jamani, hizi mashine za kunyoa ndevu lakini hazinyoi ndevu ni za nini.
 
Mapambo bafuni

Anyway msituni wa amazoni huwa haupunguzi?
 
Eti binadam aliwahi tua mwezi. ( ile project ya Apollo 11) na hajafanikiwa kurudi tena huko tangu 1960’s
 
Tunatumia kufyeka majani kwenye msitu wa Amazon karibu na kisima cha maji, ambapo ukiendelea mbele kuna mfereji wa maji machafu.. lakini baadhi ya mifereji huwa na magugu nayo tunafyeka
 
Waulizwe akina
Thierry Henry, Tiger Woods & Roger Federar waliokua wanalitangaza..
 
Mnanyolea nini? Natumia bidhaa za Gillette kama inavyotangazwa.
 
Back
Top Bottom