Uonezi katika Hoja ya Mh. Mkosamali leo Bungeni

Uonezi katika Hoja ya Mh. Mkosamali leo Bungeni

King Octavian

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2011
Posts
403
Reaction score
353
Jamani hivi huyu spika wa Bunge kwa sababu gani anatufanyanya watu hatuna masikio? Labda niulize sheria ipi inaulinda huu utaratibu wa kupiga kura kwa sauti bungeni?

Ni wazi kabisa leo wabunge waliosema ndiyoooooo kuunga hoja ya mkosamali wameshinda kwa maana ya kuwa sauti zao zineonekana kusikika sana kwetu sisi tunaofuatilia matangazo haya ya bunge kupitia Television, sasa la ajabu lilinishangaza ni huyu spika kugeuza matokeo tena bila aibu eti Waliosema sioooo wameshinda!! jamani

Mnasemaje wadau utaratibu huu mbona kama unapingana na democracy
 
Jamani hivi huyu spika wa Bunge kwa sababu gani anatufanyanya watu hatuna masikio? Labda niulize sheria ipi inaulinda huu utaratibu wa kupiga kura kwa sauti bungeni?

Ni wazi kabisa leo wabunge waliosema ndiyoooooo kuunga hoja ya mkosamali wameshinda kwa maana ya kuwa sauti zao zineonekana kusikika sana kwetu sisi tunaofuatilia matangazo haya ya bunge kupitia Television, sasa la ajabu lilinishangaza ni huyu spika kugeuza matokeo tena bila aibu eti Waliosema sioooo wameshinda!! jamani

Mnasemaje wadau utaratibu huu mbona kama unapingana na democracy


Huyo Mama ni Agent wa kuisambaratisha CCM. Misimamo yake na uendeshaji wake wa Bunge unasaidia kuwaelewesha wananchi ili wachukue hatua ya kuiondoa CCM madarakani mara moja. Huyu mama ameapishwa kuilinda CCM hata kwa damu.....
 
Huu utaratibu kwa kupitisha hoja unaotumika katika bunge ni wa hovyo kabisa!!


Katiba ijayo isiruhusu huu upuuzi kabisa!!

kweli mi naona kama utoto unafanyika hapa, personal distractors za spika zinaweza kuleta matokeo yasiyo sahihi
a.Uchama uchama bungeni
b. Afya, anaweza kuwa na matatizo ya kusikia, akasikia vibaya
 
Mi mwenyewe nimeskia sauti ya mtu mmoja tu ilosema sio na wengi ndio .Lkn sio wameshinda apo sikuelewa.
 
mzigo mzito...
Katuni.jpg
 
kweli hilo jambo spika kaonesha jinsi gani hafai na hatendi haki
 
Ndio hivyo kazimishwa pale tena hata wa ccm walionekana kumuunga mkono mkosamali kua waziri atoe maelezo ya kutosha tarehe za kuanza kila mradi wa ujenzi wa barabara
 
Makinda is an irresponsible primitive conservative old deaf woman who has been planted to serve the interests of an incompetent party.
 
anamalizia muda wake bora aondoke aje aone cha moto uraiani
 
Back
Top Bottom