HSIRAJI JF-Expert Member Joined May 28, 2019 Posts 745 Reaction score 1,555 May 3, 2023 #21 kyala Ulinamaka said: hakuna kosa ni self defense. Click to expand... Yan imekuwa ni vita hata ukiwa ndani ya gari wanakuletea kelele tu
kyala Ulinamaka said: hakuna kosa ni self defense. Click to expand... Yan imekuwa ni vita hata ukiwa ndani ya gari wanakuletea kelele tu
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 72,987 Reaction score 102,805 May 3, 2023 #22 Nunueni tethers pale Tanganyika Arms atayelazimisha unampiga shot kwanza Au pepper spray
Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 61,211 Reaction score 99,961 May 3, 2023 #23 Wanawatesa sana jamaa wa malori
Ngurukia JF-Expert Member Joined Feb 25, 2023 Posts 5,948 Reaction score 22,275 May 3, 2023 Thread starter #24 HSIRAJI said: Yan imekuwa ni vita hata ukiwa ndani ya gari wanakuletea kelele tu Click to expand... Kuna haja ya mmoja wao kufanywa mfano. Akichezea kichapo cha mbwa mwizi wataanza kujitafakari. Meanwhile na serikali nayo ijitathmini kuhusu hili swala la wrong parking maana limekuwa mtaji wa wengine.
HSIRAJI said: Yan imekuwa ni vita hata ukiwa ndani ya gari wanakuletea kelele tu Click to expand... Kuna haja ya mmoja wao kufanywa mfano. Akichezea kichapo cha mbwa mwizi wataanza kujitafakari. Meanwhile na serikali nayo ijitathmini kuhusu hili swala la wrong parking maana limekuwa mtaji wa wengine.
Isanga family JF-Expert Member Joined Feb 25, 2015 Posts 20,552 Reaction score 41,309 May 3, 2023 #25 Watu wanaonea sana na kwa vile kazi za nguvu zipo nyingi ndio wanajipa madaraka ya kijinga sana...
and 998 others JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 27,921 Reaction score 39,111 Jun 24, 2023 #26 Wazee wa fursa
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 174,792 Reaction score 721,062 Jun 24, 2023 #27 HIMARS said: Hao dawa yao ni kuwachoma na petrol kwenye hizo noah zao Click to expand... 😁😁
Mrao keryo JF-Expert Member Joined Aug 29, 2022 Posts 2,217 Reaction score 2,840 Feb 19, 2024 #28 Wenye mamlaka walishughulikie hili litakujakusababisha makubwa huko mbeleni
Resurrection JF-Expert Member Joined Jun 8, 2020 Posts 964 Reaction score 1,292 Feb 19, 2024 #29 Kuna Jamaa Yangu mmoja Bandari walimfungia chuma akalivunja lile nyororo lao tukasepa hii nchi ni ya WAGAGAKIKIKOKO Yaani ovyo sana .
Kuna Jamaa Yangu mmoja Bandari walimfungia chuma akalivunja lile nyororo lao tukasepa hii nchi ni ya WAGAGAKIKIKOKO Yaani ovyo sana .