Yule mbunge wako wa CCm aliyeshindwa kusoma tarakimu umemsahau eeh?Kama hawajui kujaza form tu wataweza vipi kutatuta matatizo ya wananchi,acha waondolewe
USSR
Rais akisema hadharani ni amri kwa watendaji
Alisema vyombo vya habari vilivyofungiwa vifunguliwe. Kuna kilichofunguliwa?Mangapi yamesemwa hadharani na hayajatekelezeka?,mfano alisema kuhusu maiti kuzuiwa hospital kisa madeni, jelimetekelezeka?.
Leo hujasikia kuhusu maiti kuzuiliwa kisa 1m?.
Sahihii kabisaAlisema vyombo vya habari vilivyofungiwa vifunguliwe. Kuna kilichofunguliwa?
Huyu mama naye ni msanii tu. Mwanzo, nilijua kwa sasa tumepata Rsis mcha Mungu, hivyo atakuwa mtetea haki. Kumbe ni wale wale. Na ameshaionja Ikulu akiwa ni Rais kamili, na amenogewa, sidhani kama atakuja kulegeza, kwani atataka uchaguzi ujao naye aupate U-Rais kirahisii kama Mwendazake!
Kama unawatoto wadogo huwezi kusema hivi Ila Kama huna watoto sawa maana unawaandalia watoto wako nchi yenye machafuko.Kama hawajui kujaza form tu wataweza vipi kutatuta matatizo ya wananchi,acha waondolewe
USSR