Uonevu dhidi ya Waislam UDOM: Msikiti wavunjwa, wafanyakazi wanataaluma 11 wahamishwa

Mimi sijakuambia uwe muislamu na wala sitapinga mtu yeyote wa dini nyingine aje anihubiri ili niingie dini yake kwa sababu Mungu katupa akili ya kutafakari imani ya kweli kwa kutumia akili alizotupatia, dini ya kwelivni ile inayokubaliana na akili sahihi za mtu.

Tuje kwenye mada, ni kwamba, with all due respect, kama ulivyosema wewe sio Muislamu, sasa utawezaje kujadili/kujiingiza katika imani usiyoijua ??, acha waislamu tudai haki zetu na nyinyi mdai zenu, mbona sisi hatuwaingilii katika mambo yenu??.Tafadhalini kaeni pembeni na mshughulike na imani yenu.
Hatuja jingiza ila tuna jadili kitu ambacho kina gusa jamii hilo eneo sio muafaka kwa shughuri za kidi bali kielim.kuna maeneo mengi nje ya chuo(karibu).jengeni kwa nn chuoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu mambo yanayohusu uislam mengi mabaya na mnayafanya kwa misingi ya dini... Hasa kuwafanyia wakristo...!!

Sent using Jamii Forums mobile app


Wewe ni mdini na huna lolote, hebu orodhesha hayo mabaya ya waislamu dhidi ya wakristo!!,

Hicho unachosema ni kinyume chake, na ninaweza kukuorodheshea hapa mkakati wa kuwadhulumu waislamu ulivyofanywa na wakristo (kupitia govts ). Kaa kimya hapa na funga domo lako chafu.
 
*MSIKITI WAVUNJWA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM), WAISLAM KUMI NA MOJA (11) WANATAALUMA NA WAENDESHAJI CHUO KIKUU CHA DODOMA WAHAMISHWA (Prof. Petter Msoffe) asimamia kikamilifu zoezi hilo.*

Tumepokea kwa Masikitiko makubwa sana uhamisho wa watumishi waislamu Chuo Kikuu cha Dodoma uliofanyika ijumaa tarehe 11 January, 2019. Uhamisho huo umefuatia baada ya *Amri ya Prof. Msofe DVC ARC (Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma) na Acting VC kuvunja Msikiti uliokuwa unajengwa Chuoni hapo*.

Viongozi wote waliokuwa waislam Udom wakiwemo ma *Lecturers, Administrative Staffs, Lawyers na Directors* wamehamishiwa taasisi zingine za umma.

Harakati hizi za kuondoa waislamu hawa zilishika hatamu mara baada ya kifo cha Prof. Edig Beautus Mobofu aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo kufariki dunia mnamo tarehe 18 Desemba, 2018. Huku jamii ya UDOM ikishutumu kuwa waislamu wamemloga Prof. Mobofu kwasababu ya kusimamisha ujenzi wa MSIKITI hali ya kuwa vipimo vya hospitali vilionyesha kaagua ugonjwa wa kiharusi.


Kufuatia sintofaham hizo mnamo tarehe 9 Januari , 2019 Siku ya. Jumatano, Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo aliyeshika nafasi ya Prof. Mobofu naye ni Prof. Peter Msoffe (DVC - ARC) na Acting VC alitoa amri ya kuvunja Msikiti huo kwa madai kuwa kapokea amri hiyo kutoka juu na kisha watumishi hao waislamu kumi na moja kuhamishwa (11). Tunajiuliza amri hiyo iliyotoka juu imetoka juu kwa nani?

Hatunashaka na kazi nzuri inayofanywa na raisi wetu mpendwa John Joseph Pombe Magufuli na hatujui kama Mh. Raisi anajua hili linaloendelea katika taasis mbalimbali za umma hususani UDOM. Tunamuomba Mh.Raisi alitazame hili ktk sura ya kipekee kwani kuachia haya yaliyofanyika yaendelee ni kuleta uhasama na chuki ktk jamii ya wasomi waliobakia Chuo Kikuu cha Dodoma jambo ambalo linaweza kupelekea migogoro ya kidini mpaka kwa wanafunzi. Hivyo ni vyema na busara uhamisho ukatazamwa kwa jicho la kipekee na kuwarejesha watu hawa kuepuka kupandikiza chuki zisizonatija katika jamii ya wasomi..!!!

--------
Uhamisho UDOM
1.Dr.Mariam Khamisi -UDSM
2.Dr.Yusuph Kambuga -ADEM Bagamoyo
3.Dr.Masoud-DIT
4.Dr.Ibuni Kombo -
5.Khamisi Mkanachi-UDSM
6.Mohammed Mwandege -Arusha Atomic Energy
7.Omar Simba -Wizara ya Ardhi
8.Subira Issa Sawasawa -Wizara mambo ya ndani
9.Wema Mbegu -Wizara ya Ardhi
10.Aziz Gendo -Arusha Technical
11.Dr.Mwinyikondo Ameir -UDSM mbeya branch
Fyekelea mbali
 
Hatuja jingiza ila tuna jadili kitu ambacho kina gusa jamii hilo eneo sio muafaka kwa shughuri za kidi bali kielim.kuna maeneo mengi nje ya chuo(karibu).jengeni kwa nn chuoni?

Sent using Jamii Forums mobile app


Nemekuuliza kwa maksudi kabisa, maana yake nyingine ni kwamba pilipili usiyo ila huwezi kujua ukali wake!!, mahitaji ya waislamu ni tofauti kabisa na mahitaji ya dini zingine, kama ukijengwa msikiti maeneo ya karibu zaidi waumini wote (students and staffs) wanaweza kuhudhuria ibada na kurudi kutekeleza majukumu yao mengine bila shida, point ipo hapo, kuswali mara 5 kwa siku katika jamaa ni jambo lililosisitizwa sana kwenye dini yetu na hapo ndipo utaona utofauti na dini zingine, "the shorter distance to attend the prayers the better", swali hapa ni kwanini msikiti uvunjwe?? Kulikuwa kuna hatari ipi juu ya huo msikiti??, msikiti ni nyumba ya ibada tu ili tumjue Mungu, watu leo wana wanamjua zaidi shetani kuliko Mungu.immorality imetamalaki na ndiyo chanzo cha ufisadi katika jamii ns ufisadi haundolewi na sheria zilizopo bali ni mafundisho ya Mungu na ibada.
 
Wewe ni mdini na huna lolote, hebu orodhesha hayo mabaya ya waislamu dhidi ya wakristo!!,

Hicho unachosema ni kinyume chake, na ninaweza kukuorodheshea hapa mkakati wa kuwadhulumu waislamu ulivyofanywa na wakristo (kupitia govts ). Kaa kimya hapa na funga domo lako chafu.
Nadhani wale waliokuwa wanachoma Makanisa ni wakristo ausio???

Hapo UDOM huo ubaguzi na upendelo mpaka wakaondolewa ni wakristo???

Ugaidi na kuua watu ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mdini na huna lolote, hebu orodhesha hayo mabaya ya waislamu dhidi ya wakristo!!,

Hicho unachosema ni kinyume chake, na ninaweza kukuorodheshea hapa mkakati wa kuwadhulumu waislamu ulivyofanywa na wakristo (kupitia govts ). Kaa kimya hapa na funga domo lako chafu.
Kuchoma makanisa ref. zanz., kuua wachungaji, kuchoma maduka ya kitimoto, walivyonyimwa haki ya kuchinja mwanza wakaanza kuvunja mabucha ya wakristo

Dah Aisee nyie jamaa mna tabu sana

Islamic is TERRORISM!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nemekuuliza kwa maksudi kabisa, maana yake nyingine ni kwamba pilipili usiyo ila huwezi kujua ukali wake!!, mahitaji ya waislamu ni tofauti kabisa na mahitaji ya dini zingine, kama ukijengwa msikiti maeneo ya karibu zaidi waumini wote (students and staffs) wanaweza kuhudhuria ibada na kurudi kutekeleza majukumu yao mengine bila shida, point ipo hapo, kuswali mara 5 kwa siku katika jamaa ni jambo lililosisitizwa sana kwenye dini yetu na hapo ndipo utaona utofauti na dini zingine, "the shorter distance to attend the prayers the better", swali hapa ni kwanini msikiti uvunjwe?? Kulikuwa kuna hatari ipi juu ya huo msikiti??, msikiti ni nyumba ya ibada tu ili tumjue Mungu, watu leo wana wanamjua zaidi shetani kuliko Mungu.immorality imetamalaki na ndiyo chanzo cha ufisadi katika jamii ns ufisadi haundolewi na sheria zilizopo bali ni mafundisho ya Mungu na ibada.
Alokwambia msikiti umevunjwa nani???? Kwanza kwa nini mjenge bila kibali??????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana taratibu kati ya chuo na chuo unatofautiana.
Lakini nakumbuka pindi nipo SUA Main campus tulikua na msikiti hali kadhalika kanisa pia lilikuwepo.
Pia kwa Mazimbu campus tuliombaga eneo na chuo kilitupatia eneo hilo na kuanza harakati za ujenzi.
Hivyo sidhani kama kuna tatizo katika hilo
Hakuna tatizo la kanisa wala msikiti, tatizo la Udom ni harakati za kidini msikitini sio swala wala uislam...... Hiki kitu kipo na nimekishuhudia nikisoma hapo......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nemekuuliza kwa maksudi kabisa, maana yake nyingine ni kwamba pilipili usiyo ila huwezi kujua ukali wake!!, mahitaji ya waislamu ni tofauti kabisa na mahitaji ya dini zingine, kama ukijengwa msikiti maeneo ya karibu zaidi waumini wote (students and staffs) wanaweza kuhudhuria ibada na kurudi kutekeleza majukumu yao mengine bila shida, point ipo hapo, kuswali mara 5 kwa siku katika jamaa ni jambo lililosisitizwa sana kwenye dini yetu na hapo ndipo utaona utofauti na dini zingine, "the shorter distance to attend the prayers the better", swali hapa ni kwanini msikiti uvunjwe?? Kulikuwa kuna hatari ipi juu ya huo msikiti??, msikiti ni nyumba ya ibada tu ili tumjue Mungu, watu leo wana wanamjua zaidi shetani kuliko Mungu.immorality imetamalaki na ndiyo chanzo cha ufisadi katika jamii ns ufisadi haundolewi na sheria zilizopo bali ni mafundisho ya Mungu na ibada.
Ww unajuaje kuhusu mahitaji ya dini zingine ikiwa ww hujui chochote kuwa husu?umevunjwa sababu haukuwa mahali pake.jengeni nnje karibu na chuo. Mbona ize mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UDOM sio chuo cha Dini

Vunja huo msikiti wakaswalie nje ya chuo kama wengine wanavyofanya!

mwishowe waje watake Udom kiwe chuo cha kiislamu sasa waje waanze kuproduce na magaidi watupe tabu bure!
Maana hawa jamaa bbana Akili zao zinawazaga kujitoa muhanga tu na kuua dini zingine ili uislamu utawale dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwanini mnampigania hadi kuchinja watu, na kuua kama Jana kenya
Ni swali zuri. Ikiwa unafatilia matokeo ya dunia basi utagungua kuwa kuna nchi nyingi sana za kiislamu zinashambuliwa na maadui wa Uislamu yaan marekani na washirika wake kwa lengo la kuudumaza au kuupoteza kabisa Uislamu. Mfano wa nchi hizo ni Iraq, Yemen, Afghanistan, Libya, Syria, Somalia na nyinginezo.

Bali pia kuna waislamu kadhaa kenya wameuwawa na polisi wa serikali eti kwa kuwaita magaidi kutokana na kuwa na msimamo wa kweli na dini ya Uislamu. Mfano shekhe Aboud Rogo aliuwawa. Ukimtaka muangalie youtube utapata jinsi alivouwawa kwa risasi zaid ya 16.

Kwa sababu hizo ndio mana hao waloshambulia Kenya huwa wanafanya hivyo kulipiza kisasi kutokana na kuwa kenya hutoa msaada kushambulia nchi hizo nilokutajia.

Hizo ni baadhi ya sababu chache tu nilokupa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili mi naona linahitaji akili na busara si elimu ya dini. Linahitaji uwezo wa ku reason logically.umenambia si haba nawe umesoma soma na vyeti ukataja.sasa itumie elimu hiyo ku reason.kwa nini waislamu walazimishe msikiti eneo la umma? Hili mbona linahitaji uelewa mdogo tu wa hata mtu wa darasa la tano kuona si sawa.

Wapo vijana wengi wanafanya huo uzinzi n.k na msikitini wanaenda.kanisani wanaenda hilo nalo lipo wazi tu.lakini kwani vijana wa kiafrika wametokea wapi?misikitini na mkanisani?hawajatokea huko.hizi dini zimeletwa na wakoloni.ndo maana wengine wanaamini kabisa wao ni waarabu na wengine wanaamini kabisa wao ni wazungu.ukitaka kujua vijana walikotokea.

Waislamu wakajenge MISIKITI MAENEO SAHIHI. kulalamika lalamika nako ni udhaifu.je wakristo wamejenga kanisa hapo udom?unadhani hawataki?watakuwa wapumbavu kulazimisha kanisa eneo si lao.ENEO SI LAO. kama wanamcha sana Mungu wanaweza enda kusali hata kilometa 20 toka hapo.KAMA SI WANAFIKI WANAPENDA KUSALI NA KWA HILO WATAPATA DHAWABU ZAIDI. tuacheni chokochoko zisizo na msingim
Sababu ya waislamu kutaka kuwa na misikiti sehemu za umma ni kwamba Waislmu wanafanya ibada kila siku tofauti na wakristo ambao wao hufanya ibada jumapili au jumamosi na kawaida siku hizo huwa hakuna kazi, kwa maana mkristo anaweza kwenda kanisa alitakalo kwa kuwa yupo free.

Nikupe mfano ambao ndio sababu KUBWA; Waislamu wao wanalazimika KUSALI mara tano kwa siku na sala hizo hupaswa kusaliwa kwa pamoja kwa upande wa wanaume. Kwa maana hiyo huwalazimu kuwa na mahali maalumu pakusalia ambako ndio huo Msikiti.

Kwaio waislamu popote watakapokuwa huwa kwao ni muhimu sana kuwa na msikiti ili wapate urahisi wa kusali kila cku mara tano.

Ukiwa ni muelewa basi hapo hutakuwa na maswali mengi tena ya kujiuliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimegundua wewe bado ni mtoto
Ikiwa mm utoto wangu ni wa miaka 10 basi ww ndio kwanza unazaliwa hivi sasa mana hata kujenga hoja na kuandika jambo kwa ufasaha pia hujui.

Unapoandika jambo basi jaribu kuandika kwa ukamilifu. Kwa mfano unaposema mm ni mtoto basi angalau toa sababu kwa nn umeona mm ni mtoto ili nami nielewa na kuweza kukufahamisha vizuri zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom