Sijawahi kukutana nao kimahusiano, ila nishashuhudia wanawake wakinyanyasika na wanang'ang'ania hapo hapo as if wamezaliwa nao....hiyo ni kesi nyingine na ninachokiona humu wanawake nadhan sijui mmenisoma juu juu au laah sijasema mwanamke uteseke...uburuzwe wewe upo tu, usiwe na kauli ndani hapana!!! Ndiyo maana nikasema mwanaume asieona unyenyekevu wa mkewe huyo ni tatizo!!! jua nafasi yako itekeleze, jua wajibu wa mke kwenye ndoa....