Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,312
Naona jinsi wanachama na wapenzi wa CDM mnavyochangia ,halafu ndio mpewe nchi ,ni bora CCM ikazuia hapohapo ,bado hamjafikia kuachiwa nchi mkaongoza ,mmechooka kwelikweli ,hamna kitu vichwa vitupu na mawazo mgando ,angalau mmepata cha kuandika.
Haya subirini 2015 ,mushuhudie CCM inavyoibuka kidedea.na ndio mwisho wa CDM.
kudadadeki......, mgomba unarangi gani......majani je?......., unajua prof maji marefu wewe ndie unayewadekeza hawa chadema, wewe uliwachanja chale za makalioni, leo wanakudharau,...........,Watu wanasema mtaka cha uvunguni ,sasa kufanya ukaidi si jambo jema ,mnaweza kutumia lugha nzuri na mkafahamika ,wanasema maneno mazuri yanamtoa nyoka pangoni ,unaweza ukamuuliza mtu suali akashindwa kukujibu ,na akakosa pa kukimbilia. Ila ujuba mnaotumia pale mnawarahisishia wengine na wanakuwa wepesi kuwaumbua.
acha uzuzu wewe usitusababishie ban hivyo vyombo unavyovitaja avikushuka kutoka mbinguni vimeundwa na hakuna shaka vimeshaoza jukumu kubwa baada ya kuchukua dola ni kufumua uo uozo na kuvifuma upya hatuwezi kukaa na wachafu watatuchafuaChadema inaonekana kuwa makini sana pale bungeni na hata kwenye mahojiano na vyombo vya habari na wamekuwa hawasikii ,wakiambiwa wakielekezwa wanakuwa na misimamo isiyoambilika.Wanajiona wao ni wao hizi ni kasumba za Mwalimu Nyerere kiasi kufika kuitwa baba haambiliki ,jina ambalo alilichukia sana.
Safu hii ya Chadema iwapo watafanikiwa kuongoza dola hii,(Inshaallah wafanikiwe) tumeichoka CCM,kuna uwezekano kuiendesha au kuiongoza Tanzania kama itakuwepo kwa kutumia utawala wa kidikteta ni kushinda CCM ,bila ya shaka kutaiweka nchi katika woga na uhuru wa mwananchi utakuwa finyu.
Sioni busara yeyote ile wanayoitumia pale bungeni ,sioni hekima yeyote ile wanayoitumia katika lugha dhidi ya vyombo vya dola ,hivi wanataka kutuambia watakapo ingia katika duru ya kuiongoza Tz watavunja vyombo hivi wanavyovidharau na kuona haviwatendei haki.
Unyanyapaa huu wa kuvikomalia vyombo vya dola na kuvibeza ni jambo linalotia hofu sana.
Chadema inaonekana kuwa makini sana pale bungeni na hata kwenye mahojiano na vyombo vya habari na wamekuwa hawasikii ,wakiambiwa wakielekezwa wanakuwa na misimamo isiyoambilika.Wanajiona wao ni wao hizi ni kasumba za Mwalimu Nyerere kiasi kufika kuitwa baba haambiliki ,jina ambalo alilichukia sana.
Safu hii ya Chadema iwapo watafanikiwa kuongoza dola hii,(Inshaallah wafanikiwe) tumeichoka CCM,kuna uwezekano kuiendesha au kuiongoza Tanzania kama itakuwepo kwa kutumia utawala wa kidikteta ni kushinda CCM ,bila ya shaka kutaiweka nchi katika woga na uhuru wa mwananchi utakuwa finyu.
Sioni busara yeyote ile wanayoitumia pale bungeni ,sioni hekima yeyote ile wanayoitumia katika lugha dhidi ya vyombo vya dola ,hivi wanataka kutuambia watakapo ingia katika duru ya kuiongoza Tz watavunja vyombo hivi wanavyovidharau na kuona haviwatendei haki.
Unyanyapaa huu wa kuvikomalia vyombo vya dola na kuvibeza ni jambo linalotia hofu sana.
nilikurupuka kuchangia ***** wako huu nimegundua your thinking capability is very low kumbe nilikuwa nachangia post ya mpuuzi fulani kwa taarifa yako hii ndio post yangu ya mwisho kwako nahisi unapepopundaWatu wanasema mtaka cha uvunguni ,sasa kufanya ukaidi si jambo jema ,mnaweza kutumia lugha nzuri na mkafahamika ,wanasema maneno mazuri yanamtoa nyoka pangoni ,unaweza ukamuuliza mtu suali akashindwa kukujibu ,na akakosa pa kukimbilia. Ila ujuba mnaotumia pale mnawarahisishia wengine na wanakuwa wepesi kuwaumbua.
Bibi kiroboto akachomoa kimagamba....ati oh.. kanuni inatumika vibaya....., bunge liendelea mpaka serikali sikivu ya CCM itakapokusanya taarifa za kutosha kuhusu ushiriki wa chadema kusababisha ajari! baadae kidogo waziri wa serikali sikivu akaja na hoja ya kuchomoa hoja ili bunge liahirishwe! bi kiroboto akaingia mkenge !
Mkuu mahakamani unaenda kumshitaki nani maana hata wafanyakazi wa meli wamezama na meli yao labda mmiliki wa meli. HII NDO TANZANIA MAISHA BORA KWA KILA MTU.Nasikia suala liko mahakamani tayari hivo tusilizungumzie
Mara Wassira aliyekuwa usingizini akaamka na kusema mh. Spika . . . . . . . . . !
kuna ki2 nyuma ya chadema ni kibayasana watz wengi hawajuwi,, mwenye nafasi anipigie
sasa comment kama hizi utasema nawe una akili timamu kweli??utajiita great thinker?????