Unyama wa kutisha Musoma

Unyama wa kutisha Musoma

Duh kafanya unyama sana

Kanda ya ziwa wanaume,wepesi sana

Kuumia kwenye mambo ya hisia za mapenzi

Wengine huku tukifumania msg,sim fureshhh tu mnapigana chini maisha
Yanaendelea...
Mambo ya kukatana mikono ya nini

Ova
 
Musoma ni wilaya ya mkoa wa Mara. Eilaya nyingine ni kama Tarime, Serengeti, Rorya, na Butiama.


Kuna wajinga wengi hawajui tofauti ya Musoma na Mara!
 
Waziri Gwajima sasa ndiyo wakati wako kuonyesha unawajibika.

Tazameni unyama aliofanyiwa mwana mama na mumewe, waziri inabidi aanzie hapa. View attachment 2363793
Inahuzunisha Sana Tena Sana!. Mwanaume anamkata mwanamke kwa panga Kana mwanamke ana nguvu kushindana nae!. Huyu aliyefanya Kitendo hiki Cha kinyama hana tofauti na muuaji!. Sheria ifate mkondo wake kutokomeza unyama huu!. Inahuzunisha Sana.
 
Duh kafanya unyama sana

Kanda ya ziwa wanaume,wepesi sana

Kuumia kwenye mambo ya hisia za mapenzi

Wengine huku tukifumania msg,sim fureshhh tu mnapigana chini maisha
Yanaendelea...
Mambo ya kukatana mikono ya nini

Ova
Kanda ya ziwa ndoa wanachukuliwa serious sana tofauti na huku ,yaani huko hata mtu ukikufumania na demu wake umeisha.😂😂😂huku kwingine drama kawaida na watu washajiandaa mapenzi ni mchezo mchafu
 
Inahuzunisha Sana Tena Sana!. Mwanaume anamkata mwanamke kwa panga Kana mwanamke ana nguvu kushindana nae!. Huyu aliyefanya Kitendo hiki Cha kinyama hana tofauti na muuaji!. Sheria ifate mkondo wake kutokomeza unyama huu!. Inahuzunisha Sana.
Kila mwanadamu mwenye maumbile timamu amesikitishwa sana na unyama huu
 
Kanda ya ziwa ndoa wanachukuliwa serious sana tofauti na huku ,yaani huko hata mtu ukikufumania na demu wake umeisha.huku kwingine drama kawaida na watu washajiandaa mapenzi ni mchezo mchafu
Wanaijua thamani ya unyumba hao,inafurahisha
 
Waziri Gwajima sasa ndiyo wakati wako kuonyesha unawajibika.

Tazameni unyama aliofanyiwa mwana mama na mumewe, waziri inabidi aanzie hapa. View attachment 2363793
Hii jamii ya namna hii inayojali sana K kuliko uhai wa mtu ni ngumu sana hat Rais Samia apambane kiasi gani kuikomboa sio leo.

Utafikiri mijitu ya zama za mawe za kale.

Inajiita kanda gani vile?
 
Kanda ya ziwa ndoa wanachukuliwa serious sana tofauti na huku ,yaani huko hata mtu ukikufumania na demu wake umeisha.😂😂😂huku kwingine drama kawaida na watu washajiandaa mapenzi ni mchezo mchafu
Hakuna userious ni stress za maisha ya umaskini zinawafanya akili zao zote ku concentrate na K tu.

Ingekuwa wanajali mbona Taraka kila kukicha?

Mwanamke akidondosha sabuni tu kwenye mchanga atapigwa mpaka afe.
 
Hakuna userious ni stress za maisha ya umaskini zinawafanya akili zao zote ku concentrate na K tu.

Ingekuwa wanajali mbona Taraka kila kukicha?

Mwanamke akidondosha sabuni tu kwenye mchanga atapigwa mpaka afe.
Ugumu wa maisha
 
Back
Top Bottom