Unyama wa kutisha Musoma

Unyama wa kutisha Musoma

Nadhani angekuwa ni dada au ndugu yako usingepata nguvu ku comment hivi. Tuwe makini na comments kwenye nyuzi sensitive.

Hizi comments tuzimalizie kwenye kula tunda kimasihara au vituko mtandaoni
Nimekupa fact, haimaanishi naunga mkono.
 
Hawa ndiyo wanawake sasa, anapenda mpk anakatwa titi. Siyo hawa vibwengo wa mjini asipo postiwa tu status ndoa inavunjika
Kuoa kijijini ina maana kubwa sana.
 
Huo ni unyama panyaroad wamehamia Musoma wanakata wake zao mapanga.. eti wivu wa mapenzi ndio umcharange mkeo mapanga kweli?

Hadi unamkata mkono kweli?

Pole sana Maria Marwa..

Jeshi la polisi limtafute huyo muhalifu na manati ya mzungu na akikiuka amri ya kukamatwa adunguliwe tu km wanavyodunguliwa panyaroad wengine
 
Huo ni unyama panyaroad wamehamia Musoma wanakata wake zao mapanga.. eti wivu wa mapenzi ndio umcharange mkeo mapanga kweli?

Hadi unamkata mkono kweli?

Pole sana Maria Marwa..

Jeshi la polisi limtafute huyo muhalifu na manati ya mzungu na akikiuka amri ya kukamatwa adunguliwe tu km wanavyodunguliwa panyaroad wengine
Mapenzi ya zamani sana hasa kanda ya ziwa
 
Mapenzi ya zamani sana hasa kanda ya ziwa
Nimeumia sana mama wa watu amepata ulemavu bila hata kutarajia..

Hii haipendezi aisee hata km ndio mapenzi yao ya zamani uko kanda ya ziwa dunia ya sasa imebadirika watoke uko huo ni uonevu aisee, umemchoka muache usimpige mapanga
 
Back
Top Bottom