Ununuzi wa umeme kwa LUKU warejea

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,337
Habari wakuu kutokana na kuwepo kwa tatizo la ununuzi wa umeme kwa njia ya Luku lililo tokea kuanzia tarehe 17/05/2021.

Shirika la umeme TANESCO limesema sasa huduma ya ununuzi wa umeme kwa njia ya Luku imerejea Tanzania nzima hivyo kwa sasa unaweza Nunua umeme kwa njia zote za awali yaani Simu, Benki au ofisini TANESCO.

Shirika liliomba Radhi hapo Awali.
 
Ni kweli dakika chache zilizopita nimefanikiwa kununua umeme. Baada ya kukosa huduma ya umeme kwa siku mbili.
 
Habari nzuri.

Wale walisema midomo.. siku 10 ziliwafaa munatia aibu, kuna maeneo ya ujuzi hamujui mupigege kinywa kimya.

Uchunguzi muhimu wa ndani kwa ndani.

Pesa nyingi imepotea kwa wananchi kwenye yao.. ndani ya siku hizi.

Kazi iendeleee.

JF inazidi kunogile awamu hii.
 
Habari nzuri.

Wale walisema midomo.. siku 10 ziliwafaa munatia aibu, kuna maeneo ya ujuzi hamujui mupigege kinywa kimya.

Uchunguzi muhimu wa ndani kwa ndani.

Pesa nyingi imepotea kwa wananchi kwenye yao.. ndani ya siku hizi.

Kazi iendeleee.

JF inazidi kunogile awamu hii.
🤣🤣🤣 Serikali ijitathimini sana.
Ngoja tunogeke na JF
 
Ila kuna vitukwo wa NMB walibaanza kujiweke LUKU kwa apu yao, kwanza jana bila tatizo. Badae usiku ikaja kurudi. NMB hadi na ikazidiwa bath kutumia ikawa haipiti kama kawaida, bantu bakajaribu jaribu hadi banapata.

Macho yangu yalikuwa kodo kodo, masikio yakafunguka pia.

Ukiyajua ya mifumo.. hapana tabu kujua lazima litarudi tu.. sio la masiku 10, ilikuwa ya masaa tatu tu tangu abatembelee pale.

Kazi iendelee..
 
🤣🤣🤣 Serikali ijitathimini sana.
Ngoja tunogeke na JF
JF yetu hapa ni tumefika miaka nenda rudi.

No kuwa kigeugeu humu.. unadumu kwa furaha.

Ashikilie usukani kadhaa ya Mwendazake japo.. kukopi mengine ya ugumu.. kuna mengi yapo njiani kupigwa.. masafu yamepangwa.. hata kuondoa wasiopiga pesa.. wakuu inashamiri sana sasa..ngoja tuone miaka ijayo.. na pia ujenzi wa maeneo kadhaa muhimu.. yatokea kuonyesha viwango vya chini.. money na vyeo ndio toki toki.
 
Watulipe fidia...samaki wangu tani mbili wameharibika...plus usumbufu kwangu na wateja.
 
Habari nzuri..
Wale walisema midomo.. siku 10 ziliwafaa..munatia aibu.. kuna maeneo ya ujuzi hamujui mupigege kinywa kimya..

Uchunguzi muhimu wa ndani kwa ndani..

Pesa nyingi imepotea kwa wananchi kwenye yao.. ndani ya siku hizi..

Kazi iendeleee...
JF inazidi kunogile.. awamu hii..
wangetoa unit hata 10 kwa wateja wao wote japo ndogo lakini inatosha kuombea msamaha maana kuna watu wamechoma mafuta kuna watu wametumia gharama kutafuta luku wangefanya kitu kwa wateja wote free units kidogo kwa wateja wote.
 
Ila kuna vitukwo.. wa NMB walibaanza kujiweke LUKU kwa apu yao.. kwanza jana bila tatizo.. badae usiku ikaja kurudi.. NMB hadi na ikazidiwa bath kutumia ikawa haipiti kama kawaida.. bantu bakajaribu jaribu hadi banapata..

Macho yangu yalikuwa kodo kodo.. masikio yakafunguka pia..

Ukiyajua ya mifumo.. hapana tabu kujua lazima litarudi tu.. sio la masiku 10..ilikuwa ya masaa tatu tu tangu abatembelee pale..


Kazi iendelee..
Kumbe Mkongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom