CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,387
- 6,481
We unajua hukohuko marekani kuna mitaa mtu mweusi hatakiwi kuonekana licha ya kuishi mitaa hiyo?wazungu hujawajua wewe walivyowabaguzi eti
Nakubali kabisa ni wabaguzi, washenzi kabisa. Ila nilichosema ni kuwa mwandishi aliyesema kuwa hana hatia, hana mamlaka ya kusema hivyo. Mwenye mamlaka ni mahakama. Sisemi hawajamtesa na kumsababishia kifo, la hasha. Most likely wamemtesa, lakini mahakama ndio ya kutoa kauli hiyo.