Unrest in Baltimore

Unrest in Baltimore

Zip code huku .Ukikaa zip code hii watoto wako shule waende zip code hiyo .Ukikaa mwananyamala shule hapohapo mwananyamala hakuna kwenda oysterbay unless hiyo shule ni private. .Na private za USA ni Kama college bei ( Angalia shule inaitwa COUNTRY SCHOOL 22,000 dollar kindergarten hiyo per year ) .Chezea USA wewe

Sasa hiyo ndo inamaanisha kuwa weusi kuna baadhi ya mitaa hawatakiwi kuwepo?

Wewe unaijua hiyo mitaa?
 
Rev Al Sharpton will be in Bmore tomorrow
By the way, the Orioles have postponed their game tomorrow
 
Sasa hiyo ndo inamaanisha kuwa weusi kuna baadhi ya mitaa hawatakiwi kuwepo?

Wewe unaijua hiyo mitaa?

Hawezi kukujibu mkuu NN sababu huyu Natalia hana uwezo wa Ku-reason na wewe
Kama anabisha mwache ache aje na value proposition
 
Zip code huku .Ukikaa zip code hii watoto wako shule waende zip code hiyo .Ukikaa mwananyamala shule hapohapo mwananyamala hakuna kwenda oysterbay unless hiyo shule ni private. .Na private za USA ni Kama college bei ( Angalia shule inaitwa COUNTRY SCHOOL 22,000 dollar kindergarten hiyo per year ) .Chezea USA wewe

Mshahara kwa mwezi kwa wafanyakazi huko ukoje? Kwa mimi hiyo siwezi kwa kamshahara kangu!
 
Alafu ndio nilikua nishauza friji la home nizamie ulaya :confused2:
 
Back
Top Bottom