UNONA NINI??

Hakuna shida na taabu ambayo mwanaume anaweza kuipata kama kuwa na shemeji mwenye miguu mizuri kama wewe,siji ng'oo kwa sababu siyo kwa miguu hiyo,unataka nizimie??
Hivi bado unaamini hiyo miguu ni yangu?Ingekuwa yangu nadhani Tanzania wangekuwa wameishanijua mie mwenyewe naitamani yani miguu milainiiii....
 
As long as you are humble to this extent i can't deny JF!.....and for your humbleness you always keep me here(JF), i thanks God i found you!
Sikuona hiyo comment kumbe shem wangu unakata yai eeeh?
 
Naona jnc gan wana jf wasivyo na hiyana wanachat beyond the limit hakuna hasira wala vta.. big up great thinkers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…