sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,292
nimefanikiwa ku unlock modem nyingi tu kwa kutumia unlockers mbalimbali, sasa wanajamvi kama kuna mtu yoyote yule kafanikiwa kwenye hii model hiii...pliz tupeane kaujuzi kidgo wajameni....lah!
<br />Ogopa promo ndugu, hiyo kitu wamebadili firmware<br />
<br />
You steal, they get new ways to stop stealing! Good try lakini...
za vodcom fast and easy wahi kabla nao hajapata njia mbadala ya kuzuiaJe ni modem ya kampuni ipi ya simu nikinunua na weza ichakachua kiurahisi kwa sasa.
mjomba nchi yenyewe tuu hii ishaibiwa....ijekuwa modem..Ogopa promo ndugu, hiyo kitu wamebadili firmware
You steal, they get new ways to stop stealing! Good try lakini...
follow ste hizo utaweza ku unlock how to unlock huawei e173-u | free ideanimefanikiwa ku unlock modem nyingi tu kwa kutumia unlockers mbalimbali, sasa wanajamvi kama kuna mtu yoyote yule kafanikiwa kwenye hii model hiii...pliz tupeane kaujuzi kidgo wajameni....lah!