Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,745
- 2,338
- Thread starter
- #421
Dah mkuu kitu kiko hewani...... Kwahiyo hapa ni mswano tu kwa kwenda mbele au vigezo na masharti kuzingatiwa? Halafu mkuu niko mkoa kidogo ila narudi dsm mwezi huu hapo kati aisee nataka ile kitu ya maboli na mamovie......
weka line isiyo na bundle afu nambie kama inakubali
maana chineke alinambia imekataa kwenye iOS yake
Last edited by a moderator: