University of Dar es Salaam wakopi website ya University of Cape Town gine

mka

JF-Expert Member
Nov 14, 2010
318
81
Wadau, katika pita pita yangu kwenye mitandao ya kijamii nikakutana na post moja inaonyesha kuwa University of Dar es Salaam wamecopy website ya University of Cape Town. Tazama mwenyewe University of Cape Town / Welcome na website ya udsm University of Dar es Salaam - Home -
Cha ajabu ukiwa wataka kuperuzi baadhi ya habari university of dar es salaaam hazipatikani kwenye website licha ya kuwa na kitufe kinachoonyesha habari hiyo. Wenzao kila kitu walichokisema kina maelezo yake. Mimi nauliza 1. Kwa mwenendo huu hivi sisi tuna wataalamu au watu wanaotembea na flash disks?
2. Wasomi ambao tunategemea wawe wabunifu kwa maendeleo ya nchi yetu wanacopy copy hadi wavuti, tutafika kweli? Fikiria, Tafakari, Chukua hatua.
 
Wadau, katika pita pita yangu kwenye mitandao ya kijamii nikakutana na post moja inaonyesha kuwa University of Dar es Salaam wamecopy website ya University of Cape Town. Tazama mwenyewe University of Cape Town / Welcome na website ya udsm University of Dar es Salaam - Home -
Cha ajabu ukiwa wataka kuperuzi baadhi ya habari university of dar es salaaam hazipatikani kwenye website licha ya kuwa na kitufe kinachoonyesha habari hiyo. Wenzao kila kitu walichokisema kina maelezo yake. Mimi nauliza 1. Kwa mwenendo huu hivi sisi tuna wataalamu au watu wanaotembea na flash disks?
2. Wasomi ambao tunategemea wawe wabunifu kwa maendeleo ya nchi yetu wanacopy copy hadi wavuti, tutafika kweli? Fikiria, Tafakari, Chukua hatua.

Acha undezi wewe,kwanini usiseme cape town university ndo wamecopy website ya udsm?
 
Mbona una jazba mkuu Frajasa, website ya University of Cape Town (the best university in Africa) imekuwa ivo muda mrefu huwa wanaupdate tu information, ila ya udsm ndio iliyobadilishwa baada ya wao (udsm kucopy), hillo halina ubishi. Pia fungua website ya udsm na 'click' sehemu za information uone kama zipo. Hahahaha kama ni wewe muhusika, fanya mipango rekebisha mnaweza design website. hata ya zamani ilikuwa poa.
 
Siku hizi kuna content management system (CMS) ambazo ni software zenye website kabisa, eg. Joomla, unaedit na ku.customize the way you like, na kuna templates zake kabisa. Sasa kama wote mlichukua template zinazofanana, obvious mtatoka na website ambazo kwa mtumiaji wa kawaida (kama wewe) anaweza akadhani mmojawapo ameigilizia! Kosa lako ni kukurupuka na kusema mmoja ameiga kwa mwingine badala ya kuuliza imekuwaje! Siku nyingine uulize kwanza!
 
Inawezekana kabisa kwa mtumiaji wa kawaida kama mimi nisielewe kwa nini udsm wameweka links Flickr, LinkedIn na OpenContent lakini haziconnect, hawana account ya Flickr wala LinkedIn! Labda ni kwa sababu ya CMS 'as you said template' hahaha meaning iyo template ilikuwa na hivo vitu. Hakuna lolote Jabulani ni uvivu wenu tu wa kufikiri ndo unawafanya mcopy na kusingizia template zinafanana. Mlichukua hadi links ambazo udsm hawana kaazi kweli kweli nyie wasomi wetu. No wander nchi yetu ipo hivi
 
Inawezekana kabisa kwa mtumiaji wa kawaida kama mimi nisielewe kwa nini udsm wameweka links Flickr, LinkedIn na OpenContent lakini haziconnect, hawana account ya Flickr wala LinkedIn! Labda ni kwa sababu ya CMS 'as you said template' hahaha meaning iyo template ilikuwa na hivo vitu. Hakuna lolote Jabulani ni uvivu wenu tu wa kufikiri ndo unawafanya mcopy na kusingizia template zinafanana. Mlichukua hadi links ambazo udsm hawana kaazi kweli kweli nyie wasomi wetu. No wander nchi yetu ipo hivi
Mkaa, wewe na wenzako kazi kulalamika na kukosoa wenzenu tu. Hata baada ya kupewa maelezo hutaki. Na wewe ni Mtanzania tuonyeshe ulichofanya uka-excel ili tuweze kukupambanua. Negativity wakati wote haisaidii kitu. Show us your positive side.
 
Ondoeni huo uso mchovu wa mkandala unaaribu tu aesthetics ya homepage. Si lazima kuweka picha ya mtu pale ..
 
Mka amewashika pabaya na mpaka sasa si Jabulani, Farjasa wala Ruge Opinion aliyeweza kumjibu. Unaongelea CMS kuwa ni template ambayo una down load na ku edit! Aibu kwa chuo kama UDSM kutumia templstes cheap kama hizo badala ya kuonyesha ubunifu ili jamii iweze kujifunza toka kwao. Hizo CMS ni za kutumiwa na tu taasisi kama zile zinazoratibiwa na VETA siyo Chuo kikuu cha UDSM ambacho kina tamba na na kitengo chake cha UCC. Plagiarism oneni aibu na badilini mara moja.
 
Mkaa, wewe na wenzako kazi kulalamika na kukosoa wenzenu tu. Hata baada ya kupewa maelezo hutaki. Na wewe ni Mtanzania tuonyeshe ulichofanya uka-excel ili tuweze kukupambanua. Negativity wakati wote haisaidii kitu. Show us your positive side.
Mkuu mimi sijalalamika, nimetoa tu tatizo amjbayo nimeona University of Dar es Salaam wamefanya i.e. kucopy website, sasa hao wenzangu sijui ni kina nani? Hivi wataka tukiona nyie wasomi mmefanya makosa tusiyaseme? Maelezo yaliyotolewa hapo juu kuhusu CMS hayajitoshelezi mkuu, hayaondoa doubts zilizopo kama nilivyosema hapa juu. Jipangeni.
 
Back
Top Bottom