Black Rose
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 243
- 171
Sasa mkuu ukienda kuhangaika na wife si utajiongezea misala tu! Coz yule anaekukimbiza atajua kama huyo ni wife wako as atakukuta pale mnavutana, sasa huwezi jua je akitaka kukulipizia kwa mkeo afu we akusamehe? So mi hapo ntakimbia tu ila nitaukariri huo mtaa niliomfuma wife, nkifika hom na kupoa wife akirudi atanikuta nshapoa mixer nmechange nguo ndo tutaanza mahojiano!
Ataipenda, ntamtajia hadi mtaa nilipomfuma na beat kibao "mi nina wapelelezi kila kona, mi nakuangalia tu kila siku"
hapo vipi? Nalog off lol
Ukute naye kakuona umekumbatia suruali kwapani unakimbia mibio hiyo bila hata viatu lol....
Sijui utamwambia nini!