KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,584
- 8,608
Kwa vyovyote vile iwe usiku au mchana lazima mwisho wasiku tuwena speaker wa bunge lijalo kwakuwa kunaonesha kutakuwa na upinzani mkali kutokana na mchuano mkali wa vyama je wewe unadhani ni yupi anafaa kuwa speaker wa Bunge lijalo?toa maoni yako.