hahahahaha!.......ha haaaaaaa... son, i see you went for the jugular!!!
I would definitely look for Preta or Lilyflower:smile-big:
Hivi hakuna anatakayependa kwenda na boflo?
i woul like to go out with LILY FLOWER
Kwa kweli ni Preta sasa sijuwi na ile avatar au kuna mengine I do not know kwa kweli.
Preta au BHT (If they are really females and not married)
ha haaaaaaa... son, i see you went for the jugular!!!
I would definitely look for Preta or Lilyflower:smile-big:
Hivi hakuna anatakayependa kwenda na boflo?
Mie ni kati ya PRETA, na BHT au wote
mwenye dada hakosagi shemeji atiiiii!Dah!
Dada zangu wana kazi kwelikweli! Big brother wao naangalia tu hapa.
hahaaaNN mwanzisha mada I wish uliweka conditions mojawapo ikiwa mtu akishatajwa (picked) asitajwe tena. Naona ishakuwa fujo sasa kila mtu sasa anamtaka Preta Preta noma hii hapa sio Manzese wakuu. Ila the good thing ni kwamba I was the first to pick Preta so mliofuata wote imekula kwenu tafuteni wengine, of course bado yeye Preta mwenyewe ndio mwamuzi wa mwisho.
Tatizo la osheniki ni kuwa mashemeji zangu hulewa sana mpaka wanashindwa kuendesha!mwenye dada hakosagi shemeji atiiiii!
tatizo la mashemejizo hawataki kwenda OSHENIKI
Ahaahahaaaaah mkuu Bobby ngoja tumsubiri Preta mwenyewe achague atatoka na nani.NN mwanzisha mada I wish uliweka conditions mojawapo ikiwa mtu akishatajwa (picked) asitajwe tena. Naona ishakuwa fujo sasa kila mtu sasa anamtaka Preta Preta noma hii hapa sio Manzese wakuu. Ila the good thing ni kwamba I was the first to pick Preta so mliofuata wote imekula kwenu tafuteni wengine, of course bado yeye Preta mwenyewe ndio mwamuzi wa mwisho.
HATA hivyo mashemeji zako wana HISA osheniki ndo maana hawataki kwenda na wewe!.......Tatizo la osheniki ni kuwa mashemeji zangu hulewa sana mpaka wanashindwa kuendesha!
hahahahaha!.......
you can say that again
hehehehe!MUHIMU......haya bana, nilikua najipendekeza mazee... si unajua arusha daily?
Mtoa mada kasema 'rafiki wa kimapenzi', jahadhari usionekana lesbian!Kama vile sijaelewa swali ..ngoja nipate b/fast kwanza ?Mtoa mada Kama nikitaja kina dada wenzangu sawa si sawa?.................................
hehehehe!MUHIMU......
ngoja aje preta mwenyewe afanye maamuzi mazito
uzuri wa lily-flower HAGOMBEWI NA MTU HAPA
Boflo na Bwabwa laweza kuwa chaguo la kwanza la ......................:target:
Mtoa mada kasema 'rafiki wa kimapenzi', jahadhari usionekana lesbian!Kama vile sijaelewa swali ..ngoja nipate b/fast kwanza ?Mtoa mada Kama nikitaja kina dada wenzangu sawa si sawa?.................................
Hahaha! kiongozi nimekuelewa.
Nilijua line ya tigo unawapigia kina dada peke yao. Kumbe........................ pole zangu nyingi:target: