Ibada ya kwanza
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 3,282
- 1,810
Na daz baba,Chid Benz,Ferouz
Kwanza we muuliza swali ni nani wa darasa nianzie hapo
Darasa LA ngp au darasa huyu wa acha manenoMWALIMU WA DARASA
Akafanye na Bahati Bukuku uone kama hatalipuka mapepo
Darasa LA ngp au darasa huyu wa acha maneno
Pole huhaelewa kinachoendelea nimejitahidi kukuweka sawa lkn umeteleza OK jioni njemaDARASA LA PRE FORM FIVE
Daah wazee walimu wenu hawafundishagi spellings ama?
Vp = Vipi
Shule zishafunguliwa rudisha line na charger ya mjomba uende shule
Mkuu mm nimeongeleaa kurudisha simu but tupo pamoja
Sijui kama kuna simu ya shule ambayo ni ya kuslide au ina jf ndani hata st marry na st fransiss hawana simu kubwa simu zao ni kamaa hii![]()
Pole huhaelewa kinachoendelea nimejitahidi kukuweka sawa lkn umeteleza OK jioni njema
Ahahahaaaa hiyo colabo itachuja kabla ya kutokaNa mtumbua majipu
Weka muzikiHAAHAAAAAA ACHA MANENO
Baada ya kufanya hit song na Ben pol, ungependa afanye collabo na nani?