Ungekuwa wewe ungejibu nini

Ungekuwa wewe ungejibu nini

Emma M Bai

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
223
Reaction score
126
Pale unapochukua simu ya mpenzi wako nakuanza kupekua ukidhani amelala fofo kumbe yupo macho
Anakujibu sheet kama hivi
""Ukimaliza kazi yako naomba ukalilie nje me sitaki makelele hapa"

Utafanyaje urudishe tu ama presha ndo itapanda zaidi,,,
 
Baada ya Kupekua umelilia nje au Umempigia Makelele hapo hapo??
 
Yeye ndio itabidi akalilie nje

Atakula makofi mpaka kunakucha🤨🤨
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom