Ungekuwa wewe ungefanyeje?

Ungekuwa wewe ungefanyeje?

ndo mapenz hayo
Ukikua utaacha
bado una mapenzi ya U20
Soma utawapata wengi
na wote Zinafanana utamaliza Mabucha
mwenzako anakuchezea kwa ni mashine yake inaliwa na wajanja
jaribu kum-delete akilini mwako taratibu utamsahau
 
Ukikua utaacha
bado una mapenzi ya U20
Soma utawapata wengi
na wote Zinafanana utamaliza Mabucha
mwenzako anakuchezea kwa ni mashine yake inaliwa na wajanja
jaribu kum-delete akilini mwako taratibu utamsahau

nimekusoma mkal;hapa ni buk kwa mbele 2
 
jipange uendelee na shule achna na mapenzi
 
tungekuwa wajinga mama yako asingekuzaa angekuuwa tokea ulivyokuwa tumbon.au angekutelekeza bila msaada wowote.amekulea na kukutunza mpaka hapo ulipo leo unauwezo wa kumwambia ni mjinga.kumbuka wanawake haohao.ndo dada zako.mama zako.shangazi zako na bibi zako..n.k.pia ndo haohao waliokufanya uje humu ndani kuomba ushauli.tafadhali kaka usitutukane.

mjinga ni yule ambaye hajui usipanic wakwetu
 
Unapoteza bure calories kubishana na katoto kanakoona kamepatia maisha kwa kupata division 2 ya Mulugo.

unajua maisha unajua hata unapokwenda acha dharau eti katoto we ndo nani labda ,mana hata kama ni adult hujui ulizaliwaje zaidi ya kuhadithiwa
 
ndo hvo we pga buku af uone heshma itakuja yenyewe
 
Back
Top Bottom