Ungekuwa wewe ungefanyeje?

Ungekuwa wewe ungefanyeje?

This is foolish age!!! Ila lazima watu wazima kama sisi lazima tukupe ushauri.Kama bado unasoma wewe maliza shule yako hadi chuo kikuu,tafuta kazi ndo utajua kumbe ulikuwa unawaza karibu sana.Maana baada ya hapo utahitaji kuwa na familia,Muda huo ndo muhafaka wa kumwombw Mungu akupe mke mewma si bora mke.alafu story kama hizo usiziweke kwenye forums za kijamii kama hizi.ni bora ungemtafuta mtu yeyote mwenye busara ungepewa jibu saafi tu.vinginevo Utapata VVU mdogo wangu.hata wenye na VVU wanang'ara sana. Take care.
 
This is foolish age!!! Ila lazima watu wazima kama sisi lazima tukupe ushauri.Kama bado unasoma wewe maliza shule yako hadi chuo kikuu,tafuta kazi ndo utajua kumbe ulikuwa unawaza karibu sana.Maana baada ya hapo utahitaji kuwa na familia,Muda huo ndo muhafaka wa kumwombw Mungu akupe mke mewma si bora mke.alafu story kama hizo usiziweke kwenye forums za kijamii kama hizi.ni bora ungemtafuta mtu yeyote mwenye busara ungepewa jibu saafi tu.vinginevo Utapata VVU mdogo wangu.hata wenye na VVU wanang'ara sana. Take care.

umesomeka man
 
Eti stress za mapenzi! loh! bado mdogo ww, soma
 
wanawake wajnga xana

tungekuwa wajinga mama yako asingekuzaa angekuuwa tokea ulivyokuwa tumbon.au angekutelekeza bila msaada wowote.amekulea na kukutunza mpaka hapo ulipo leo unauwezo wa kumwambia ni mjinga.kumbuka wanawake haohao.ndo dada zako.mama zako.shangazi zako na bibi zako..n.k.pia ndo haohao waliokufanya uje humu ndani kuomba ushauli.tafadhali kaka usitutukane.
 
Kuna msichana alikuwa ananipenda ila mimi simpendi,alitaka hata kunywa sumu kwa ajili yangu mama yake alivyoona hivo akamuamisha kabisa sehemu tuliyokuwa tunakaa na kumpeleka kwa baba yake Dsm huku akisoma,alikaa huko kwa miaka 5,

Alivyorudi mwaka jana alipendeza na alikuwa mzuri kuliko mwanzoni,mimi nikaanza kumpenda nikamfuata nikamueleza akanikataa kisa mimi nilimkataa kipindi kile;lakini baadaye akakubali na akakataa kusex na mimi hadi akarudi Dar;

Nilifanya utafiti ilionekana ---- mtu alisex nae alivyorudi huku,mimi niliendelea nae kuwasiliana kwa njia ya simu lakini alinipa maumivu makubwa hadi kiwango changu cha ufaulu darasani kikashuka kwa sababu aliwahi kunifanyia kitukö ambacho sijui kukisahau;

Nilikuwa shuleni mwaka jana nikiwa form 4 nasubiri mock,nilmpigiaga simu akakata na kuzima baadaye akawasha nampigia hapokei,ukituma text kwa mtu mwingine anajbu,hiyo ikanifanya nisisome kwa miezi 4 hadi nilpoingia kwenye paper kisa stress za mapenzi,

Toka nilipompotezea na maumivu yakaishaga,cha ajabu matokeo ya 4m 4 yalipotoka na nilipata 2 akaanza kunitafuta eti ooh nilpoteza namba yako sijui mara ooh;me kwa sababu nilikuwa nampenda nikamkubalia tena;

Sasa cha ajabu bado alikuwa ananifanyia vitu vya ajabu na nikampima kwa simu nyingne nikagundua ana mchizi mwingine huko Dsm,

Nakamuuliza akasema hana na hajawahi kusex,me nikamtajia hadi jina la mtu wake wa huko ambaye alitaja mwenyewe nilipompigia kwa simu nyingne akasema hiyo mtu hamjui;

Sasa jamani nifanyeje kuhusu huyu msichana mana naona ananiumiza moyo wangu tu lakini nina kama week 3 nimekata mawasilìano naye kwa kubadilisha line lakini nahisi bado nampenda

Wewe umeyakoroga mwenyewe sasa unjichanganya tuu
 
Jaman cio kwamba wanawake wote wajinga ila hyo aliyenletea za kimalaya nd mjinga";
 
Back
Top Bottom