Mgeni; Dah mbwa wenu mbona ananiangalia sana ninapokula?
Mtoto; kajibu, Labda kwa kuwa wamekupakulia kwenye sahani yake. Kama ni wewe ungeendelea kula au?
Mgeni; Dah mbwa wenu mbona ananiangalia sana ninapokula?
Mtoto; kajibu, Labda kwa kuwa wamekupakulia kwenye sahani yake. Kama ni wewe ungeendelea kula au?
sahani za mbwa bana huwa ni structureless.. lakini mpaka mtu afikie hatua ya kula chakula bila kugundua condition tofauti kama harufu au uchafu uchafu katika sahani, that means kuna usafi wa hali ya juu sana!
kama ni mimi, wallahi siendelei kula, na huyo alienipakulia hio menyu atanieleza vizuri tu baada ya kuzoeana kidogo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.