they say it is loneliness that makes booze nd infidelity all the more appealling....n.sasa huyo shemeji yako ana kila haki ya kuyafanya hayo maana ndoa dhumuni ni kuishi pamoja. mnapo ishi mbali mbali mnawekana majaribuni tuu.
kama anataka kuyafanya hayo si ayafanye huko huko
kuja na wanaume home means what!!!!!!!!!!!
kunywa pombe hadi kujikojolea is stupidity.....
lazima awe na self respect despite the so called lonilness
asakuta same mbona watu tuko na ma long distance relationship na tunajiheshimnakubaliana na wewe kwa asilimia zote , no matter what respect to yourself ni kitu muhimu sana.
asakuta same mbona watu tuko na ma long distance relationship na tunajiheshim
kwa sana....,
Ndugu zangu nimejitokeza kwenu kuomba msaada.Mimi ninaishi na kaka yangu ila kaka yangu ana mke na kaka yangu mda mwing hayupo huwa anasafiri kikazi na huwa anakaa miezi mitatu anapokuwa kazini na akirud anakaa rikizo kwa mda wa siku 28 sasa kwa mda ambao kaka anakuwa hayupo mambo anayofanya shemeji yanakera unakuta shemej yangu anarud mpaka saa nane uciku amelewa mpaka anajikojolea mimi binafsi inaniuma saana kuona anavyomfanyia kaka na yangu ananipenda saana ananihudumia kila kitu ila nashindwa kumwambia kaka kwa huhofia kuvunja ndoa imefikia hatua shemeje ameanza mpaka kuja na wanaume wanamleta home kwa gari night na mimi namfungulia get kiukweli inaniuma jaman mimi binafsi nimeamua nihame nyumbani nikapange tu kwa sababu ya haya maudhi jaman naombeni msaada wa mawazo nikimwambia je shem atanielewaje endapo wacipoachana na je nikikaa kimya kaka atanielewaje ciku akijua? Na nina uhakika atajua kwani mungu hafich mnafiki nisaidien mawazo mdogo wenu
Ndugu zangu nimejitokeza kwenu kuomba msaada.Mimi ninaishi na kaka yangu ila kaka yangu ana mke na kaka yangu mda mwing hayupo huwa anasafiri kikazi na huwa anakaa miezi mitatu anapokuwa kazini na akirud anakaa rikizo kwa mda wa siku 28 sasa kwa mda ambao kaka anakuwa hayupo mambo anayofanya shemeji yanakera unakuta shemej yangu anarud mpaka saa nane uciku amelewa mpaka anajikojolea mimi binafsi inaniuma saana kuona anavyomfanyia kaka na yangu ananipenda saana ananihudumia kila kitu ila nashindwa kumwambia kaka kwa huhofia kuvunja ndoa imefikia hatua shemeje ameanza mpaka kuja na wanaume wanamleta home kwa gari night na mimi namfungulia get kiukweli inaniuma jaman mimi binafsi nimeamua nihame nyumbani nikapange tu kwa sababu ya haya maudhi jaman naombeni msaada wa mawazo nikimwambia je shem atanielewaje endapo wacipoachana na je nikikaa kimya kaka atanielewaje ciku akijua? Na nina uhakika atajua kwani mungu hafich mnafiki nisaidien mawazo mdogo wenu
kama anataka kuyafanya hayo si ayafanye huko huko
kuja na wanaume home means what!!!!!!!!!!!
kunywa pombe hadi kujikojolea is stupidity.....
lazima awe na self respect despite the so called lonilness
there we go again with the pretence...sasakwani ukigegedwa hotelini ndio unakuwa na self respect!? as long as umegegedwa nje ya ndo doesnt matter the place bado huna self respect.
Like like...umenena vyema kweli ukute kuna kitu kinachompa jeur maana ni ngumu kwa mtu mwenye akili timamu,mapenzi na heshma kwa mumewe anaweza tenda matendo hayo tena bila wogahuyo shemeji yako anadharau kubwa sana kwa kudiriki kuyafanya hayo hadharani na kwa uwazi namna hiyo.... cha muhimu chunguza anapata wapi ujasiri wa kuyatenda hayo halafu ndiyo ufanye maamuzi sahihi ya namna ya hayo mambokufichuka
I meant awe na self respect kutoenda nje ya marriage......,
na sikumaanisha kwamba kugegedwa mbali na home ndo atakuwa na self respect...,
Ndugu zangu nimejitokeza kwenu kuomba msaada.Mimi ninaishi na kaka yangu ila kaka yangu ana mke na kaka yangu mda mwing hayupo huwa anasafiri kikazi na huwa anakaa miezi mitatu anapokuwa kazini na akirud anakaa rikizo kwa mda wa siku 28 sasa kwa mda ambao kaka anakuwa hayupo mambo anayofanya shemeji yanakera unakuta shemej yangu anarud mpaka saa nane uciku amelewa mpaka anajikojolea mimi binafsi inaniuma saana kuona anavyomfanyia kaka na yangu ananipenda saana ananihudumia kila kitu ila nashindwa kumwambia kaka kwa huhofia kuvunja ndoa imefikia hatua shemeje ameanza mpaka kuja na wanaume wanamleta home kwa gari night na mimi namfungulia get kiukweli inaniuma jaman mimi binafsi nimeamua nihame nyumbani nikapange tu kwa sababu ya haya maudhi jaman naombeni msaada wa mawazo nikimwambia je shem atanielewaje endapo wacipoachana na je nikikaa kimya kaka atanielewaje ciku akijua? Na nina uhakika atajua kwani mungu hafich mnafiki nisaidien mawazo mdogo wenu