mwambie kaka yako siku moja aje bila taarifa halafu afanye surprise ili ajionee mwenyewe! maana bila hivyo kibao kitageuzwa kwako eti wewe unamtaka kimapenzi shemeji yako! mwisho wa siku kaka yako atakuja kujua ukweli huku tayari alishaumizwa na 'miwaya'!
mwambie kaka yako siku moja aje bila taarifa halafu afanye surprise ili ajionee mwenyewe! maana bila hivyo kibao kitageuzwa kwako eti wewe unamtaka kimapenzi shemeji yako! mwisho wa siku kaka yako atakuja kujua ukweli huku tayari alishaumizwa na 'miwaya'!
Ndugu zangu nimejitokeza kwenu kuomba msaada.Mimi ninaishi na kaka yangu ila kaka yangu ana mke na kaka yangu mda mwing hayupo huwa anasafiri kikazi na huwa anakaa miezi mitatu anapokuwa kazini na akirud anakaa rikizo kwa mda wa siku 28 sasa kwa mda ambao kaka anakuwa hayupo mambo anayofanya shemeji yanakera unakuta shemej yangu anarud mpaka saa nane uciku amelewa mpaka anajikojolea mimi binafsi inaniuma saana kuona anavyomfanyia kaka na yangu ananipenda saana ananihudumia kila kitu ila nashindwa kumwambia kaka kwa huhofia kuvunja ndoa imefikia hatua shemeje ameanza mpaka kuja na wanaume wanamleta home kwa gari night na mimi namfungulia get kiukweli inaniuma jaman mimi binafsi nimeamua nihame nyumbani nikapange tu kwa sababu ya haya maudhi jaman naombeni msaada wa mawazo nikimwambia je shem atanielewaje endapo wacipoachana na je nikikaa kimya kaka atanielewaje ciku akijua? Na nina uhakika atajua kwani mungu hafich mnafiki nisaidien mawazo mdogo wenu
Umefanya busara kuhama kwa kakako. Ukimsemea shemejio atamuambia mumewe ulimtaka na undugu utaisha. Hayakuhusu. Unayajua afanyayo kakako huko anakoishi? Unayajua anayofanya gf wako akiwa mbali nawe? Endelea na maisha yako.[/QUOT
ushauri wako uko kimalaya zaidi! kwani kama hujui ayafanyao kaka yako ndo tiketi ya kuruhusu ujinga kama huo kwa ndugu yako wa damu? nakushauri mtoa maada hili halivumiliki chamuhimu we tafuta jinsi ya kumfikishia ujumbe kaka yako bila kuadhiri uhusiano wako na shemeji yako ili ikibidi kaka yako aweze kufanya uamuzi wa kusuka au kunyoa!
ushaurimzuri kwa m2 mmoja hapo juu kua we mwambie kaka yako afanye kuja bila taarifa alafu akae sehemu nyingine ili amuone anakoelekea amfuatilie kisha ajitokeze akiwa na talaka yake mkononi!
ndoa kama hizi hata ukizivunja kama kaka wa mwanandoa hakuna dhambi kwa mungu!