Ungekuwa wewe ungefanyaje

Ungekuwa wewe ungefanyaje

Hashpower7113

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
1,353
Reaction score
2,144
Umeamka zako asubuh ukaenda choon sasa wakat unaingia choon ukakutana na mpangaji mwenzio anatoka choon sasa na wew ulipoingia unakuta mshikaj amekata gogo ameshusha mzigo si wakitot na kuchafua sink then hajasafisha so ukaamua kughail kukata gogo na kutoka, sasa wakat unatoka ukakutana na demu uliyekuwa unamzimikia kitambo kirefu sana na yeye anakuja hukohuko chooni, sasa kama ni wewe utafanyaje ili yule demu asigundue kuwa ule mzigo haukuwa wako

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Nitatoka na kuanza kupaka mbovu, ataelewa tu kuwa cyo mm. Hapo vip! niko poa!?
 
[Kichekesho si mchezo mmmm unarudi tu unasafisha kwani unapungukiwa nini lol!!
 
Umeamka zako asubuh ukaenda choon sasa wakat unaingia choon ukakutana na mpangaji mwenzio anatoka choon sasa na wew ulipoingia unakuta mshikaj amekata gogo ameshusha mzigo si wakitot na kuchafua sink then hajasafisha so ukaamua kughail kukata gogo na kutoka, sasa wakat unatoka ukakutana na demu uliyekuwa unamzimikia kitambo kirefu sana na yeye anakuja hukohuko chooni, sasa kama ni wewe utafanyaje ili yule demu asigundue kuwa ule mzigo haukuwa wako

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums


khaaa...!! Wapangaji wengine nouma....., mimi nitamrudisha huyo mwenye kimba asafishe choo na kumpa RED BELL ALERT AND STERN WARNING ya kutokurudia unyapala wake.

So, kidemu pendwa kikitokeza kinakuta kila kitu bien....!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom