Natamani ningeweza kukupa like 100 au kila mmoja akupe likeNashangaa watu wanaobeza iyo fasihi kwa kuiita chai,mleta mada kaleta jambo la kutufunza kwenye maisha yetu ya kila siku.Matukio kama hayo yanatokea kila siku kwenye maisha yetu, na si lazima lifanane na alivyosimulia mleta mada .
Angeeleza kama ni liwaya za esopo au hadithi maana yy amejinasibu kuwa yy ndiye lililomtokea kiufupi hiyo hadithi amejitungia tuNashangaa watu wanaobeza iyo fasihi kwa kuiita chai,mleta mada kaleta jambo la kutufunza kwenye maisha yetu ya kila siku.Matukio kama hayo yanatokea kila siku kwenye maisha yetu, na si lazima lifanane na alivyosimulia mleta mada .
Asubuhi kulipokucha nilishangaa kuona mke wangu amekusanya vitu vyake nje, nikamuuliza mbona anatoa vitu nje? Akanijibu hawezi tena kuishi na mimi kwani hawezi kuishi na mwanaume ambaye hana kazi, pesa, nyumba wala gari