MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Jamani nimependa kupata upeo wa kila mwana jf, Maoni yenu kweli ni changamoto kubwa sana kwa Taifa na wanasiasa wanaoumia kwa kuwepo kwa huu mtandao,
Sasa hebu tuwaumize zaidi wanasiasa wanaochukia huu mtandao
Ungekuwa wewe ni Presidaa wa Tanzania, Ungelifanyia nini taifa lako kwa kipaumbele na kila mtanzania kuridhika na wewe??
Sasa hebu tuwaumize zaidi wanasiasa wanaochukia huu mtandao
Ungekuwa wewe ni Presidaa wa Tanzania, Ungelifanyia nini taifa lako kwa kipaumbele na kila mtanzania kuridhika na wewe??