emma115
Senior Member
- Apr 28, 2012
- 135
- 167
Mtu mmoja aliekua akiumwa sana na kulazwa hospitalini huku akitumia mirija maalumu kupata hewa, alitembelewa na pastor kwaajili ya maombi. Katikati ya maombi kwakuwa mgonjwa alikuwa hawezi kuongea akachukua kikaratasi na peni akaandika kitu na kumpaPastor, sababu pastor alijifanya busy na maombi akakiweka mfukoni bila kukisoma, mara mgonjwa akafa. Kwenye mazishi pastor akakitoa kile kikaratasi kama kilivyo na kuwapa ndugu wasome akidhani ulkuwa wosia wa marehem. My God ! Imeandikwa..... " samahani pastor, umekanyaga bomba la hewa kwahiyo nashindwa kupumua" Vipi ungekuwa ndugu wa marehem...?