Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,353
Wanasema tumeumbwa kwa udongoKama kuoga Ni usafi mbona taulo linachafuka
Wanasema tumeumbwa kwa udongoKama kuoga Ni usafi mbona taulo linachafuka
Kama unauandaa kupitia mashine hujakwepata kitu ,Kama unatwanga kwenye kinu sawaUnga wa muhogo vipi?
yaan mda huu nmetoka kula kakiporo kanguMbona unapokwangua sufuria kwa lengo la kula ukoko kwenye sufuria la Alumimium nyumbani kwako kwa kutumia kijiko huoni hatari ya kula hivyo vi particles wakati kuna msagano mkubwa sana pale..!!!
mkuu lakm hzo chembe chembe si zmesagika, about small partcl kama unga?Hata kukiwa na sumaku bado chembechembe za chuma zitaingia tu ktk unga na hiyo sumaku pia inapopigwa na unga unapozunguka ndani ya mashine inalika pia
mkuu lakm hzo chembe chembe si zmesagika, about small partcl kama unga?
Samahan je haiwez kumeng'enywa ikaongeza Madini ya iron mwilini?
Madini ya iron yanapatikana ktk chumvi tu na siyo iron hivi vyuma vya kuchomelea nk
zege imegunduliwa na mTZ....tujivunie vyakwetu.Acha kula ugali kula chips mayai
Hata kijiko unachotumia kula kinaisha,jiulize hizo particles za vyuma huenda wapi?Piga ugali mkuu kufa kupo tu.Unapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.
Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?
Kula ugali mkuu umri wa kuishi ni miaka 70 tu
Nothing lasts forever
Anhaa lakin ingekuwa vema ukatufahamisha madhara ya hizi partifles
Yana watu wanavohangaika na maisha utadhan Yana last forever!
Kumbe binadam tumepewa ki portion tu Cha muda wa kuwepo duniani
anapata madini chuma kiwepesi zaidi siomle kwenye MASHINE kuna sumaku inayonasa tu-vyuma
isitoshe hata ukila hivyo tuvyuma ndivyo unaendelea kuwa imara kama chuma.!!
Black And White! Watu Tunataka Kuishi Milele? Side Effects Zitajitokeza Baada Ya Wewe Kuwa Mzee, Kama Utajaliwa Maana:Kula ugali mkuu umri wa kuishi ni miaka 70 tu
Nothing lasts forever
Mwambie Ale Ugali, Akianza Kutafuta Bata Kala Nini, Atatapika!Hatari Sana mkuu hakuna chakula kilicho salama Kama kinapitia kiwandani mkuu , mchele wenyewe unapitia huko huko kwenye mashine, ukichunguza Sana utakua unakula mihogo tuu, lakoni hata hiyo mihogo umeshawahi jiuliza kwa nn kisu kinachomenyea and kinaisha makali ule ubutu unasabishwa na nn, ni kumuomba tu mungu mkuu atuepushe na athali ya hivyo vitu